Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Sihitaji kutumia lugha nzuri kwa SHOGA na msapoti ushoga hawa ni kuwakatamata wote kisha una wachoma moto kama hitler mbona hii tabia ya usenge ita isha Tz
Aweeeh Thubutu yako!! Hebu anza kuwachoma moto tuone kama utabaki salama umesimama wima!

Shenzi type 🤣
 
I LOVE YOU

Umepiga kwenye mshono wa nyuzi saba na nusu
 
Confession I very much disagree with you. Ila napenda ulivyo positive kwenye mjadala wako. Hata wanaokutukana, unawajibu kwa staha.

Kwa jamii yetu, itatuchukua mda sana kukubaliana na hii hali. Changamoto nyingine ni jinsi ushoga unavotetewa kwa nguvu zote kwa kivuli cha human rights. Wakati tunajua fika kuna human rights kibao zinavurugwa na kupotezewa. Tena na hao hao walio mstari wa mbele kutetea ushoga. Huu utetezi unatufanya tuone kuna agenda ya siri.

In all, sina cha kukushauri. Wewe ni binadamu kama mimi. Hatuna ukamilifu wowote.

Labda swali kwako: unaamini hii hali ya mtu kuwa shoga inaweza kuwa addressed mhusika akaachana nayo? Kwa njia Zipi? Mimi Naamini tunaweza kujifunza kutoka kwako na wengine.
 
you are spoiling our society
Your society? Which society?

Hii society iliyojaa majambazi na wahuni??? Nyamaza weweee huna point kaa chini!

Your so called society is already spoilt and corrupted, no one is spoiling it, for God's sake! Are you okay?

Hii ni dunia, uwanja wa vita kila mtu anapambana na hali yake. Hizi sio enzi za ujamaa za kupakatana magotini.

Kila mtu anakufa na lake, majizi, mafisadi, mashoga na malaya wote tunakwenda sambamba mpaka kieleweke.

Kama hutaki kifiro utupishe, usituletee mahubiri hapa.

Society Tanganyika hii? Hebu peleka huko! 🤣😹😹
 
Unafahamu kitu kinaitwa ''alimentary canal" ? Kazi ya njia ya aja kubwa ni nini?
Wakomalia boriti zangu tu mbona hujibu yako au you are only a better judge kwa dhambi zisizokuhusu. Guy deal with your concious and lust cause they are sufficient to keep you busy
Huna academic excellence or perfectionism ya kunipa lecture about biology or my own sins.
Feeling sad for your wife ila hayanihusu
 
Those who knows me in here wanajua kuwa I'm against legalizing homosexuality in our country cause I know impact iliyopo kwa sasa, what about ikiruhusiwa especially kwa watoto wadogo who knows nothing about their sexuality that they have a room to explore different things but on the other side. Sikubali gays kuwa attacked or kuuliwa cause they are only the impact of societal failures and some of us ni nature. Whether you agree with it or not kwa sababu there is no way ningekuwa gay if it was my choice to make. There are a lot to loose in life filled with uncertainties, fear, guilty, secrecy and endless struggles.
Kutoka it's not easy na sijawahi kukutana na aliyetoka completely but ni kuomba Mungu tu
 
Hivi kwa mateso haya, kuna mtu angeweza kukubali kuwa shoga kwa ridhaa yake? Hata mimi nisingekubali.

There is no happiness in this at all.

Ni vile tu hakuna jinsi, mboro nazo tamu sana unajikuta unazikalia tu.

Ni shida. Wanaume ni watamu sana mimi siwezi kuwaacha asilani. SIWEZI SIWEZI SIWEZI.

Cc: dronedrake Extrovert Mzee wa kupambania Yohimbe bark
 
Thanks Confession I appreciate your perspective. Fully agree, our society is brutal..extremely unforgiving to these people. Mimi nadhani hata kama we don’t approve this behavior kama jamii basi let’s have a serene environment to have this uncomfortable conversation, for the sake ya vizazi vya sasa na vya kesho. Wasiwasi wangu ni kwamba kwenye huu mjadala, society imefocus kwenye condemnations, na so far hili halijasaidia kitu. Maybe it’s high time for dialogue.

Ila pia watu kama nyinyi on the other side of the fence, mnaweza kusaidia kuielimisha jamii.

Let’s continue learning
 
yeah ni kweli
 
C unafiki wa wabongoo, mxxxxiiiiieeewww.
 
😂😂😂 huyu ndio bichwa komwe sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…