Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Ambaruti ana maoni gani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio awe mkeo kabisaaa, hutaki uwe mkwe wangu?
Hako kabinti hadi kafike 15 years si nitakuwa nimekufa kabisa maana mvi zinaninyemelea.
 
Kwa hiyo unashauri nini kifanyike mkuu?
 
Umewakumbusha vema ,naomba uwakumbushe na dada zetu na wao wasijione wako salama sana .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe!! Na Dr Restart mlikua mnanifanya nachezea Ban km njuguu,

Wallah nna legacy humu ndaniii. Woiiiiiihegac

Legacy ya ushetani 🥺🥺🥺😀
 
Unaonekana umezaliwa familia bora wewe,na huwa mnashida sana plus muonekano mzuri kama unavyosifia.walaumiwe wazazi wako kwa kukupa malezi mabovu.
 
Naomba uje pm na namba yake
 
Mawazo gani haya ww
 
Kumbe wasira ndio muokoaji wa system
 
Ninakupa IST kwa sasa million 18 njoo dm fasta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…