Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kwa maelezo hayo tuliosoma cuba tumekuelewa🤣🤣.. unknown gay
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani ulitakajeee? Em semaa kwani.
Naweza kufikiria ujue, Woiiiiiih
Mrembo cocastic usitake tuhalalishe ndoa humu na kiuzi nije kupandisha eti nampenda cocaa😅😅😅😅😅😅
 
Pole sana mwamba, je ulishawahi kujaribu kuacha na ikashindikana? coz ujue sisi tuko tunafaidi sana hizi nyabe aka mbususu hakika ni tamu sana.
 
Pole sana mwamba, je ulishawahi kujaribu kuacha na ikashindikana? coz ujue sisi tuko tunafaidi sana hizi nyabe aka mbususu hakika ni tamu sana.
5 years back nilitoa thread humu ya kuelezea struggles zangu while seeking for help.
I went through a very hard battle but after a while nikaona getting too serious with it inaninyima furaha cause I was miserable then I decided to live my life with or without it
So yeah nilipambana and maybe I still do but I decided kutoipa concentration or high importance in my life ili niishi peaceful
 
H
Hii comments ndo ingefunga uzi, issue za uchoko ni malezi wala hakuna sababu nyingine, mnamsema uyo Confession ila alichokisema ni kweli kabisa “he didnt know about his sexuality”.

Mtoto wa akiwa mdogo kama ni wakike unauwezo wakumfanya wakiume na akawa, na mtoto wa kiume unaweza kumfanya wakike na akawa. Yote hayo ni kutokana na viungo vya fahamu zake vinaingiza taarifa gani kwenye ubongo wake. Akikaa na watoto wakike na mama ake sana, basi taarifa zitazokua zinaingia ni izoizo za kikekike so ikifika wakati anatakiwa kusimama direct kama mwanaume itamchanganya sana na ndo hapo wengine hua magay direct kama wakina NOEL na wengine hubaki na ile feminine attitude kama kina LAVALAVA, QCHIEF, na wengine.

Kwaiyo mwisho wa siku hii issue watuwataongea wanayoyaongea but usipostick kwenye malezi ukamwachia mwanamke ndo akulelee mtoto wako wakiume mwisho wasiku usilaumu mtu.
 
Sasa sii ungeandika kiswahili mwaya ili na sisi tusio jua kiinglish tufaidike na bandiko lako
 
Huyo atakuwa anayetuma hizo sms kwa kujirahisi ni mzabzab maana yeye ukimpa 10M tu unamtindua. Mi nimeandaa 15M kwani nimeshavuna Mpunga hapa Magugu. Nataka nimpandie mzabzab dar nikamfumue linda.
 
Una hasira sana bro!

Ninawajua wanangu ni wezi wazinzi walevi mwenyewe mimi nina madhaifu yangu chungu mbovu lakini elewa kwenye hii battle hakuna anaetaka kuonekana mtakatifu sana ila tupo against na nyie kwa sababu ya mnavyopenda kujipa umuhimu ambao hamna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…