- Thread starter
- #641
Wengi njaa kaliGay smart na anayejitambua hawezi kuwa na mazoea holela na straight, kwan had afanye hivyo anatakajee? Straight ndo atake mazoea na Gay.
Afu mbona Bongo kuishi ni simple sana ukiwajulia waja!! Tatizo gays wengi wa Bongo hasa wasiokalia Dawati, hawajielewi wala hawajitambui, kutwaa kuranda kwenye mashughuri kuuuza nyago, au huko bar na club kujichoreshaaa.
Wakiishi life lao private, nongwa zinatoka wapiii? Unaishi kivyakoo had wao wanajiuliza anajimudu eeeh.