Kuchangia Mada haina maana kwamba nimepoteza ubingwaNawewe ushapoteza ubingwa dah
Imekua kawaidaShort story!!
Huku ninapoishi maji ni ya shida kidogo (kimara golani)....
Nikasema isiwe tabu siwezi kaa two days bila kuoga..... Nikabeba madumu mawili ya lita 20, nikapotelea mabondeni kusaka maji. Kipindi narudi na madum yangu mkononi nikasikia sauti inatoka nyuma yangu yenye uzanzibar ndani yake, ambayo ipo katikati ya Ke na Me..... nikapuuza maana mjini hapa kila mtu na mateso yake
Ikabidi nipaki madum yangu pembeni kidogo kumpisha mpita njia apite, maana ni zile njia za vichochoro!!
mpita njia kafika nilipo kasimama, kanisalimia ikabidi nigeuke kwa speed ya ajabu maana ile saut sio poa....
La haulaaah ile natupa macho nakutana uso kwa uso na upinde, alikuwa kaongozana na pisi moja kali sana.... Wakaniomba niwaelekeze sehemu nikafanya hvyo wakaenda zao!!!
Lakini cha ajabu ni kuwa watu njiani hawashangai sana, kana kwamba kuona shoga alojipamba kike na mekap n kawaida badala yake wakaanza kunishangaa mimi nnayemshangaa shoga
Hahahaha true story kabisa
Yani rahisi kwake kuacha ama? Kwani alianzaje? Eti imeniumiza sana, yani huo mwandiko umeandika kama yule shoga chokuu wa kenya. Mna bahati sana, ipitishwe sheria tuwang'oe vichwa hadharani. Eti nimeumia sana. KwendraaaaaWhy apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Ukifatilia huu uzi mpaka mwisho.. Kama una familia Au unatarajia kuwa na familia . Kuna la kujifunza hapa. Usichukulie poaYani rahisi kwake kuacha ama? Kwani alianzaje? Eti imeniumiza sana, yani huo mwandiko umeandika kama yule shoga chokuu wa kenya. Mna bahati sana, ipitishwe sheria tuwang'oe vichwa hadharani. Eti nimeumia sana. Kwendraaaaa
🤣🤣🤣🤣 Usenge senyege kaa chini nikulenge, ....iliyobaki malizia wewe.Acha ungese wewe...😄😄😄😄
Bagamoyo kuna shoga alifariki alikuwa anatoka funza sehemu ya haja kubwa. Walimtumia wakamtelekeza alivokosa huduma akawa anaumwa na wadudu wakawa wanataka sehemu ya haja kubwa mpaka mauti yalipomkuta. Tena alikuwa bado kijana mdogo tu.
CHAIBagamoyo kuna shoga alifariki alikuwa anatoka funza sehemu ya haja kubwa. Walimtumia wakamtelekeza alivokosa huduma akawa anaumwa na wadudu wakawa wanataka sehemu ya haja kubwa mpaka mauti yalipomkuta. Tena alikuwa bado kijana mdogo tu.
Nakukubali mwanangu and sorry sikuiona comment mapema Mr. C but upunguze kunitenga ndugu yakoNakutembezea likes tu mwanangu since day one
Hahaha kila mtu anafikiria analolifanya hamna mtu anajya ukifika 50+ utacheka kuonawatu wanakufatilia wakiamua kiroho na wanamjua kila kitu kukuhusu hasa negativityHahaaaa sipo open either but all the relationships i 've had zilikuwa secretive
UnknownKwa maelezo hayo tuliosoma cuba tumekuelewa🤣🤣.. unknown gay
Huwez ishi peaceful na huku una......tana Africa Haiwezekani kamwe5 years back nilitoa thread humu ya kuelezea struggles zangu while seeking for help.
I went through a very hard battle but after a while nikaona getting too serious with it inaninyima furaha cause I was miserable then I decided to live my life with or without it
So yeah nilipambana and maybe I still do but I decided kutoipa concentration or high importance in my life ili niishi peaceful
Aliharibika uume au njiia ya ufahamuNina rafiki yangu miaka mitano nyuma alipata ajali ilompelekea kufa kwa uume wake aisee situation alopitia that guy na sasa alivyo you can't believe kama ni yeye alajawa na hofu yakudharauliwa na kukataliwa lakin finally hakuuacha uhalisia and mpaka sasa hata umcheke bado amejikubali na hali anadunda na wala hakuacha kuhalalisha awe shoga mana wapo ambao hawaelewi situation alopitia wanamtuhumu moja kw moja kuwa shoga ila wala sasa miaka mitano he still standing as a men, what i am trying to say is if you're a men you'll always be no matter what.
Oya we ili nisikutenge sana inabidi niwe mcharo kwanza sasa hivi nimekua mzururajiNakukubali mwanangu and sorry sikuiona comment mapema Mr. C but upunguze kunitenga ndugu yako
Unatoa kwaiyo ukiombwa?? mmhh ila ww huna haya😂😂Yaan had unajinad!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Bado nawatafuta hawa 40 nijue n kina nani maana ulivojitambulisha tu wakalikrWhy apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Kuchangia Mada haina maana kwamba nimepoteza ubingwa
Naenda bagamoyo maeneo ya ukuni jirani na empire bar utaambiwa story yake ila kama huamini basi.CHAI