Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
So you faggot?
 
Kwani SI nilikwambiaga[emoji23][emoji23][emoji23] nikaja Hadi kwenu tabata chang'ombe[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa!! Wee Iddy unachanganyaa files, mbona mie sio huyoo.

Ndo umesahau I'd yakee? Woiiiiiiih.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa!! Wee Iddy unachanganyaa files, mbona mie sio huyoo.

Ndo umesahau I'd yakee? Woiiiiiiih.
😂😂😂 Ni wewe bwana labda wewe ndio umesahau id yangu natumia I'd mpya Ile nilibadilisha majina😂😂😂
 
Lethergo ya kweli mkuu?? 😹
 
Imethibitika kisayansi kuwa sehemu inayotoa kinyesi ndio inamaambukizi mengi ya maradhi ya ngono. Wote anaye fanya na anaye fanyiwa wapo kwenye hatari kubwa sana ya maambukizi ya vvu, gonoria, kaswende n.k
 
Tema mate chini, hakuna mzazi anayependa mtoto wake awe shoga au kahaba.!
Hao watu wahoji vizuri wakwambie wanatokea familia gani?
Malezi ni Mungu mwenyewe analinda wazazi ni waongozaji tu.!!
 
Tema mate chini, hakuna mzazi anayependa mtoto wake awe shoga au kahaba.!
Hao watu wahoji vizuri wakwambie wanatokea familia gani?
Malezi ni Mungu mwenyewe analinda wazazi ni waongozaji tu.!!
Tuwaongoze vyema mengine tumwachie Mungu.
 
Umeanza lini kuogopa ugomvi? Yani wewe uogope kugombana? Hii sio kweli.!!

Tena una uzi uliniponda kweli mshkaji wangu.!! Dah.!!
Nimefunga Novena siku 9 sitaki kugombana ovyo Mkuu subiria nimalize Novena kwanza nikiwashe

Ila Wewe huna Mume?
 
Nimefunga Novena siku 9 sitaki kugombana ovyo Mkuu subiria nimalize Novena kwanza nikiwashe

Ila Wewe huna Mume?
Mxieeeeww 😂😂😂
Wa kufunga novena hapo yuko wapi??
Novena tuachie wenyewe tunaofunga 3 kavu. Hapa ss hivi naenda kumalizia zile 9 zilizobaki.

Mume ninaye na tuna watoto sita, we huogopi?? 😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…