Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Ushoga ni maamuzi inakuwaje mwanaume uvue nguo uiname hadi dudu liingie hapo umeamua mwenyewe..wadinyaji wengi hushawishiwa sio makosa yao wao ndio wanaingizwa kwenye ubasha.
Narudia tena kwanini wasikatae? Ushoga utaisha vipi ikiwa mabasha wapo? Au walaji wa hao mashoga? Usitake kutetea hapa.

Kwahiyo kila anae shawishiwa anakubalii, kukataaa aaah?
 
Kijana anaweka rehani JICHO lake alafu wewe unasema anapenda vya bure mkuu ?

Au unadhani kuliwa jicho ni kazi ndogo ?

Wana moyo sana hawa watu wanaoweka rehani macho yao,kazi yao ni ngumu bora nikabebe zege.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnachekesha nyiee, Woiiiiiih
 
Vijana hawapendi kufanya kazi ila wanataka kustarehe
 
Narudia tena kwanini wasikatae? Ushoga utaisha vipi ikiwa mabasha wapo? Au walaji wa hao mashoga? Usitake kutetea hapa.

Kwahiyo kila anae shawishiwa anakubalii, kukataaa aaah?
Ndio Kukataa ahaaahaa
 
Wewe na samia nani mchamungu?
 
Umetoa ushauri mzuri sana Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…