Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Yaan siku hizi kila baada ya muda lazima ije story ya Gays, sio mtandaoni hata huku mtaani, Gayism imekua ndo trending issues.

Kwani nani hajui faida na hasara zake? Kinachokera mtu mzima akiyeamua kutumia mwili wake kwa namna inayo mfaa yeye binafsi, afu wanakuja watu wengine kuanza kumzonga na kumnangaa.

Kila mtu atalinda mwili wake, afu huwa mnakataza kwa kiume tyuuh, vipi hawa kike? Siku hizi wanagawa kinyeo km hawana akili nzuri na ishakua fashion, ndo hao walaji wakikosa kwa ke, wanahamia kwa me, wengine wanavuka mipaka na kulawitii watoto wadogoo wasio na hatia, mxxxxxxiiiiiiieeeeeew.

Acheni UNAFIKIII.
Ni kweli mademu siku hizi wanatoa sana zamani ilikuwa lazima uombe tena kwa kubembeleza na kutoa ahadi kubwa kubwa ili kupitishwa huko lakini siku hizi wenyewe wanatoa password hadi raha.
 
To whom are you addressing the Truth here at JF? Nani anataka kusikia hadithi za mambo yako hapa ?That's how you pushing it.


MKUU njia pekee ambayo inaweza kumtoa mtu yoyote kwenye hali Fulani mbaya ambayo ni kinyume na mapenzi ya MUNGU ni Upendo❤️ tu ...... Mfano mateja na hawa mashoga na TABIA zingine za kimwili ambazo ni tofauti kabisa na mapenzi na mpango wa MUNGU kumuumba mwanadamu


Ndicho anacho kifunua huyu jamaa 👉 confession


Hakuna aliyekamilika mkuu


Ndio maana YESU KRISTO alisema kwa yule mama aliekua amezini na wayahudi kutaka kumpiga mawe hadi kufa👇


Yohana

8.7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe

👉Anae hukumu na yeye ameshahukumiwa teyari
 
I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
Confession
Screenshot_20240630-104622.jpg
 
I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
Kwa hiyo mzee wana kuinamisha wajuba wana kushikisha ukuta na kukupumulia kabisaaaa kwenye kiny3o????
 
Saying a guy who can't stay 3 months straight without having sex
You guys why do you always think kuwa gay issue ni nyepesi while you have never been gays yourselves
With all the stigma and public crucification. Nani angetaka kuwa gay,
Imagine the lame reasons you always use kusema ohhh men hawawezi kuwa na girl mmoja
Imagine if you can't satisfy your sexual desires kwa same woman or much less masturbation or anal sex, what makes you think it's easy for another person kuacha sexual acts zinazompa fullfillment completely
Nafikiri mnakua mnafanya maamuzi sio sahihi
Pale mnapo amua kufanya regardless of its sideeffects.
Alafu nishawahi shuhudia baadhi yenu wamepona na kusema huwa wanatumika kwa manufaa flani, is that it?
 
Ndo maana sasa wazazi tujaribu sana katika kufuatilia malezi kwa karibu ya watoto wetu. Wamjuwe Mungu na kuwa na maadili mema ili kuepuka huo ushenzi. Maana huko mtaani wapo busy kuhakikisha watoto wanaharibika hii ni VITA ya kiroho.
John trust no one kwa mtoto wako
Not even your blood brothers, your father, school teachers, spiritual leaders, shemejis,
Trust no one and always stay awake.
Teach your kids mapema kutopenda favours or kushikwashikwa, teach them how to report them to you comfortably.
That's all
 
Bro asikudanganye mtu chanzo kikubwa cha vijana kuingia huko ni kuporomoka kwa maadili katika jamii, wazazi kutowajibika katika malezi ya watoto wao. Unadhani kila mtu angekua amenyooka huko mtaani wangepata nafasi ya kueneza huo ufedhuli?


Sasa Mkuu Tatizo ndio teyari limeshatokea na huyo jamaa 👉 confession anasema Tatizo linaongezeka kwa kasi kimya kimya


tunafanye sasa Mkuu kuzuia hili? Kuwatukana na kuwashambulia kwa MANENO ya chuki na lawama Kweli itasaidia?


Hawa watu wanahitaji Upendo na taratibu kuwa elimisha na kuwapa Maarifa ya kujitambua wao ni akina Nani? Na kwanini wapo hapa duniani?


Tutawatoa huko wengi na kuokoa Kizazi hicho kilichopotoka kuliko kuwatupia matusi na lawama Mkuu
 
Sisapoti ushoga ila alichoongea Confession kama nimemuelewa, wengine wanaingia kwenye tabia hizi bila kupenda ila kutoka ndio kazi. Katoa mifano wapiga nyeto, wazee wa 3some, wasagaji, wazee wa anal sex mbona nyie mnashindwa kuacha mkishaingia?? Kwanini mnawaattack magay pekee while nyie mnafanya dhambi hizo zilizowashinda kuacha??? Note: sisapoti ushoga anymore.
Tuiwekee hii ki brotherhood.
Unakubali mwanaumwe mwenzako awe anafurahia kufanyiwa hiko kitu, hata kama upingi.
Ni machukizo mbele ya mungu na mbele yetu, mbele ya tamaduni zetu za afrika.
 
Kwanini mnawaattack magay pekee while nyie mnafanya dhambi hizo zilizowashinda kuacha??? Note: sisapoti ushoga anymore.
Nani aliekwambia kuna dhambi? Hakuna dhambi Ila kuna makatazo ya ulimwengu kwamba hiki ufanye na hiki usifanye ili kuwepo na Jamii yenye Amani, Upendo na Furaha bila kua na ghadhabu zozote baina ya mtu na mtu Ila dhambi km dhambi hakuna dhambi

Nina mke Nina Watoto wa kike na kiume sisapoti ushoga Ila Sina haki wala mamlaka ya kuwashambulia vibaya maana kila mmoja ana simulizi yake na maumbile yake kwa hio siwezi kumuhukumu yoyote hayo mamlaka ya kuhukumu mwanadamu ambae sikushiriki hata katika robo ya uumbaji wake sikushiriki hata ku-injinia na ku-design muonekano wake kwenye hii dunia sina mamlaka hayo kwa hio mengine tumuachie Mungu yeye ndio anajua kusudi la Watu wote kuwepo pamoja nasi

Wanasema unapoenda kusomewa hukumu hautohukumiwa kwa makosa ya fulani yaan wewe utahukumiwa kwa makosa yako wewe mwenyewe sasa km mtu anafanya yeye na unajua kabisa ataehukumiwa ni yeye kwanini kusumbuka nae? Hio ndio maana halisi ya usihukumu hautohukumiwa, yaan ukihukumu tunaanza kukuhukumu pale alipoishia kuhukumu wengine Wewe unawasema Hawa je Wewe yule mtoto wa watu wa kike kwanini ulimfanya vile kwanini ulimla TIGO au kwa kua yeye ni Mwanamke amebeba maumbile ya kike ukaona ni sawa kumfanya vile?
 
I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
Daaah !! So sad. Mungu epushia mbali watoto wetu na huu ubazazi
 
Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Duh kmmmk unatembea na dipers??
 
Back
Top Bottom