Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kwahiyo tupeleke nguvu zetu kupinga CCM wakati watoto wetu wanaliwa!mpaka tumalize hiyo vita ya kuitoa CCM watoto wetu wote si watakuwa wanavaa pempasi?kwahiyo tunachukua madaraka tunamevaa pempasi,wacha tu tufe na umasikini wetu mkuu,ila ushoga NO...
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nimeogopa honestly. Nimekawaza ka boy kangu ka pekee nikaishia kusema Mungu nilindie haka katoto, na mimi nitajitahid kutimiza wajibu wangu
Na kwel Mungu tu ndo awalinde watoto wetu wa kiume,,
Kuna uyo kaka shule ya msingi yani yeye ulikua humkuti na wanaume wenzie,,na alikua anacheza michezo ya kike tu,mfano rede aseee alikua anacheza vizuri hadi mda wa kumchagua tunamgombania,,yani tembea hadi ongea ilikua ya kike,,, maskini sjui kaishia wapi sasa.
 
Saying a guy who can't stay 3 months straight without having sex
You guys why do you always think kuwa gay issue ni nyepesi while you have never been gays yourselves
With all the stigma and public crucification. Nani angetaka kuwa gay,
Imagine the lame reasons you always use kusema ohhh men hawawezi kuwa na girl mmoja
Imagine if you can't satisfy your sexual desires kwa same woman or much less masturbation or anal sex, what makes you think it's easy for another person kuacha sexual acts zinazompa fullfillment completely
Unatumia njia gani kwenda haja kubwa? Mpaka unapigwa paipu unamiliki viwanda vingapi?
 
Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Wewe confession pole sana pengine nimeelewa vibaya ila ninachoona ,
Pengine kuna watu walikudhurumu utoto wako/uanaume wako hebu funguka kwa faida ya wengine mana wengine ni wazazi hapa tujue kabisa
 
Ulitaka kugundua nini zaidi na mtu ulishamuona ni shoga?? Kwann uendeleze convo? Acha ugaigai bana.!
Niache ni enjoi maisha sijawahi ona inakuaje kwann nisi jioneee zaidi huwa wakoje kwan unanionea wivu nikupe namba
 
Wakuu wale wa matusi tutulie ili tupate stor kutoka kwa wahusika, tujue tunawatunzaje watoto wetu na vijana wetu
Andrew123 funguka zaid unaweza kupata ushauri
 
NAE ni mhusika?au kuwasilisha ujumbe ..
Anyway acha tujifunze ili tuje okoa wanetu na haya masuala..
Ana vitu ambavyo atuvijui..mwishoni kasema anaombwa msaada mtu baki...hicho kipande kina maswali mengi sana
 
Hakuna aliyekukataza ila ule unafiki wa kusema huna interest na hizo mambo ndio hatutaki.!! Hizo namba mimi hapana sizihitaji wape wadau wenzio wengine
Una ka roho flani ndani ako ka uchonganishi.
 
Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Raha ya JF kutojulikana ni raha sana una express who you are freely ila nashangaa watu humu wanaogopana,as if n watoto wa bamkubwa na bamdogo
 
Wakuu wale wa matusi tutulie ili tupate stor kutoka kwa wahusika, tujue tunawatunzaje watoto wetu na vijana wetu
Andrew123 funguka zaid unaweza kupata ushauri
Shekhe kakuta kijana anaangalia picha chafu kijana kazima haraka haraka shekhe kamwambia allaaah, usizime, embu acha tutazame huu ufirauni tujifunze namna ya kuukwepa.
 
1. Uwezekano wa kupata UKIMWI na magonjwa mengine ya Ngono ni mkubwa (michubuko) maana sehemu ya haja kubwa haikuandaliwa kupitisha mizigo mikubwa na bongo vilainishi marufuku.
Kwahiyo mkuu ukiletewa kilainishi shavu au sio! Nimekupata
 
Back
Top Bottom