Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Huchangii Mada in a positive way, unajaribu kubalance mzani kwamba wanawake wanafirwa pia, anyways hapa tunadiscuss kwanini .mwanaume apelekewe moto kmmk? Kwanini mwanaume apoteze ubingwa na point tatu. Sasa kama unataka kuongea habari za wanawake kufukuliwa tope anzisha uzi mwingine tutakuja kuchangia kwanini wanawake na wenyewe wanafukuliwa kmmk?
Ushawahi kumfira Mwanamke?
 
Sijawahi na sitakuja.
Basi hizo Mada za kufirwa na kufirana acha kuzikandia km hujui unachokielezea Mimi nimekueleza km jinsi ilivyo uhalisia jinsi ulivyo nini kinachoendelea kwa hio jua hivyo tu ukitaka kujua vizuri soma comment
 
Kuuongelea ushoga bongo ni kupoteza muda tu maana hamna kitu mnaweza wafanya zaidi ya kubwata tu humu mitandaoni na kujitia mnawachukia.

Linda uzao wako, mnalea vibaya watoto wenu matokeo yake mabazazi yanawapumulia, hasira mnakuja kuzimalizia huku mtandaoni kwa kuwatukana hovyo wanaojitanabaisha kua ni mashoga.

Ushoga ni tabia mbaya sana, magonjwa ya zinaa ni njenje, wanaharibiwa huko nyuma vibaya sana, mbaya zaidi ni kama una addiction maana kuacha hawawezi wanaishia kujidhalilisha kwa kutaka wanaume kwa kuwahonga, kujitongozesha mitandaon mwisho kuambulia matusi na kutangazwa vibaya.
Na huyo chalii anaesema mashoga ndo watu smart sijui ndo wamefanikiwa aache upotoshaji wake labda mashoga wa Israel na marekani huko sio hapa bongo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas, akhiiiii
 
Mrembo cocastic usitake tuhalalishe ndoa humu na kiuzi nije kupandisha eti nampenda cocaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em njoo na huo uzi, tena unipambee haswaa,
Bwana ninae na natambaa nae. Woiiiiih
 
Hata kama sote si watakatifu ila shoga si wakumuonea huruma hata iweje na hana haki hata yakuishi mbwa wale ndiyo chanzo cha uharibifu wa watoto na vizazi vijavyo waamini kuwa ni kawaida kuwa vile na ni halali sote tunadhambi but not to that extent.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnachekeshaa hatareeee!! Woiiiiiih
 
cocastic ni smart kid and he still has a right to live his life according to what he sees as suitable for him the same way as I do. I respect him for that
About kiingereza ni lugha kama kindengereko but if you think kukiongea is a way of presenting yourself as a classic guy then ni misconception zako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii nimekua mzigua tenaa?? Mbona ghaflaaa

Hivi kuongea kimomboo ndo u classic? Woiiiiih
 
GOd forbid..God help us all. God protect our kids.
HIz comments humu zinatisha na kuogofya sana.
Mungu tusaidie
90% walioreply humu ndio michezo yao uzi upo on trending tokea ulipoanzishwa kuna ids zipo kuanzia page ya 1 hadi page hii
Hawaongei habari za kutafuta solutions zaidi ya kuchochea na kuuliza maswali yasiyo na kichwa wala miguu
Watu wanapenda mambo haya
 
Short story!!
Huku ninapoishi maji ni ya shida kidogo (kimara golani)....

Nikasema isiwe tabu siwezi kaa two days bila kuoga..... Nikabeba madumu mawili ya lita 20, nikapotelea mabondeni kusaka maji. Kipindi narudi na madum yangu mkononi nikasikia sauti inatoka nyuma yangu yenye uzanzibar ndani yake, ambayo ipo katikati ya Ke na Me..... nikapuuza maana mjini hapa kila mtu na mateso yake

Ikabidi nipaki madum yangu pembeni kidogo kumpisha mpita njia apite, maana ni zile njia za vichochoro!!

mpita njia kafika nilipo kasimama, kanisalimia ikabidi nigeuke kwa speed ya ajabu maana ile saut sio poa....

La haulaaah ile natupa macho nakutana uso kwa uso na upinde, alikuwa kaongozana na pisi moja kali sana.... Wakaniomba niwaelekeze sehemu nikafanya hvyo wakaenda zao!!!

Lakini cha ajabu ni kuwa watu njiani hawashangai sana, kana kwamba kuona shoga alojipamba kike na mekap n kawaida badala yake wakaanza kunishangaa mimi nnayemshangaa shoga

Hahahaha true story kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom