Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Wewe ni gay kutoka mkoa gani? [emoji848] Hebu jitambulishe
 
I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
So umeolewa na unaishi na male partner au ndio maisha ya kujificha ficha kama popo, mchana hauonekani usiku unatawala anga? [emoji848]
 
Yaan siku hizi kila baada ya muda lazima ije story ya Gays, sio mtandaoni hata huku mtaani, Gayism imekua ndo trending issues.

Kwani nani hajui faida na hasara zake? Kinachokera mtu mzima akiyeamua kutumia mwili wake kwa namna inayo mfaa yeye binafsi, afu wanakuja watu wengine kuanza kumzonga na kumnangaa.

Kila mtu atalinda mwili wake, afu huwa mnakataza kwa kiume tyuuh, vipi hawa kike? Siku hizi wanagawa kinyeo km hawana akili nzuri na ishakua fashion, ndo hao walaji wakikosa kwa ke, wanahamia kwa me, wengine wanavuka mipaka na kulawitii watoto wadogoo wasio na hatia, mxxxxxxiiiiiiieeeeeew.

Acheni UNAFIKIII.
Wanawake wakigawa uwani ila wameshatuzalia watoto inakuwa na impact ndogo ukilinganisha na ile ya wanaume kuliwa nyuma hawawezi kuwa baba tena maana spirit ya kiume kwa shoga haiishi inatoweka anakuwa mwanamke kwenye mwili wa mwanaume.

Watoto wetu wa kiume wakifanyiwa haya matendo kwa wingi tutaharibu taifa unaona kama marekani ya sasa ilivyo ya hovyo sababu mashoga na watumia ushoga wapo wengi sana hadi serikalini.
 
Sasa unamlaumu Dkt. Gwajima D yeye ndie aliyewatengeneza mama wa watu anajitoa na yupo tayari kushirikiana na jitihada zozote za kutokomeza matatizo ya kijamii wewe unakuja hapa kumlaumu.
Zima moto huyo anakwenda bila mipango na bila malengo.

Anaifanyia kazi media siyo Watanzania.
 
Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Na utaendelea kuumia mpaka uache!
 
I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
Unatafuta excuse sio!
 
Back
Top Bottom