Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Unatafuta excuse sio

I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
Sasa si ungeenda hata jeshini bro, yani ingepambana kujenga huo mwili uwe wa kiume uondokane na hizo fikra, instead ndo kama umepata sababu na uko proud 🚮🚮🚮
 
Kweli aache uchoko analeta kulialia kama alizaliwa kilema vile…kumbe kinetic anakitega mwenyewe! Na uandishi wake wa kiswakinge huo si ndo udwanzi+ sasa
 
Kuna dogo yumo humu jf anafuata watu inbox kuomba michango ya kufanyiwa upasuaji eti msela (roommate) alimla akiwa kalewa
 
Kijana wa kiume usishawishike hata upewe mamilioni ya pesa usikubali kuuza utu wako wenyewe mnaita "KUCHANJA" Unapewa kilema cha maisha bila kujua.

MADHARA

1. Uwezekano wa kupata UKIMWI na magonjwa mengine ya Ngono ni mkubwa (michubuko) maana sehemu ya haja kubwa haikuandaliwa kupitisha mizigo mikubwa na Manii yanabaki humo humo mpaka kuoza na bongo vilainishi marufuku.


2. Ukipata matatizo, hospitali za bongo utaambulia matusi na kunangwa huku unaoza,

3. Hao mabazazi watakuchekea wakufumue Tu hawana muda na wewe wakishakuharibu,

4. Nawajua vijana kadhaa kwa sasa inabid wavae diapers kuzuia haja kutoka bila taarifa.

5. Mmoja anaomba michango akatibiwe India, waliokua wanampapasa wanamkimbia. Michango tunaombwa watu Baki. Sio fair!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dadeki naku tafuta nikutoboe ata macho
 
Koo za simba akitokea mmoja akawa shoga au basha ujue huyo hawezi kuishi tena, ni kifo tu.

Ikitokea basha au shoga akamghilibu kijana wa ukoo wa simba, ujue wote hao ni kifo tu. alieghilibu na alieghilibiwa.

Simba hawacheleweshi, hawataki kabisa kuishi na mwenye hayo maradhi.
 
Back
Top Bottom