Kijana wa dukani (duka kubwa la jumla jumla) anahitajika

Kijana wa dukani (duka kubwa la jumla jumla) anahitajika

NDORANGA

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
216
Reaction score
376
Habarini wakuu,

Nilikuwa nahitaji kijana wa kukaa DUKANI (uuzaji)
- Ni duka la jumla lipo maeneo ya Gongo la Mboto

VIGEZO
Awe anajua kusoma, kuandika na kuhesabu (kuanzia kidato cha nne na kuendelea)

  • Jinsia yeyote
  • Awe mkazi wa Dar-es-Salaam
  • Awe na uzoefu wa kazi za dukani
  • Awe mtiifu na mcheshi

Mshahara: Mshahara ni 270,000 chakula cha mchana(lunch) juu yangu mwajiri

Natanguliza shukrani
 
Kijana yupo, mwenye vigezo vyote lakini uwe tayari kukaa nae au kumpa nauli ya kila siku kutoka Mbezi.
 
Nipo naweza kusimamia umuhimu ni uaminifu tu nitafanyakazi kwa bidiii mungu anisaidie 0626456047 kwa mawasiliano zaidii
 
Nina dadangu yuko hapo Vingunguti Kama kweli upo serious tuwasiliane kiongozi kwani ana uzoefu
 
Habarini wakuu,

Nilikua nahitaji kijana wa kukaa DUKANI (uuzaji)
- Ni duka la jumla lipo maeneo ya gongo la mboto

VIGEZO

Awe anajua kusoma,kuandika na kuhesabu (kuanzia kidato cha nne na kuendelea)

  • Jinsia yeyote
  • Awe mkazi wa Dar-es-Salaam
  • Awe na uzoefu wa kazi za dukani
  • Awe mtiifu na mcheshi

Mshahara: Mshahara ni 270,000 chakula cha mchana(lunch) juu yangu mwajiri

Natanguliza shukrani
NimekuPM mkuu.
 
Kijana unayemlenga Awe mwisho umri gani? Yupo mmoja ameoa na Ana familia yupo Kigoma na kwa huo mshahara yupo tayari kupanda TREN kuja kufanya hiyo kazi kwa weledi kabisa. Ana miaka 30.
 
270,000 tshilingi = na 7500 miticais.
Duh, wacha niendelee kupiga sululu.[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Habarini wakuu,

Nilikua nahitaji kijana wa kukaa DUKANI (uuzaji)
- Ni duka la jumla lipo maeneo ya gongo la mboto

VIGEZO

Awe anajua kusoma,kuandika na kuhesabu (kuanzia kidato cha nne na kuendelea)

  • Jinsia yeyote
  • Awe mkazi wa Dar-es-Salaam
  • Awe na uzoefu wa kazi za dukani
  • Awe mtiifu na mcheshi

Mshahara: Mshahara ni 270,000 chakula cha mchana(lunch) juu yangu mwajiri

Natanguliza shukrani
Nimeshakuja DM mkuu
 
Back
Top Bottom