Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wazee wa kutetemesha mko makiniDukani kwako umefunga kamera boss? Kijana wangu ana aleji na kamera.
[emoji16][emoji16]Dukani kwako umefunga kamera boss? Kijana wangu ana aleji na kamera.
Tangazo kinasema, nilikuwa, maana halisi meshamaliza hitaji lake kwa maaana anatumia muda uliopita nyie angaikeni tu huko mpHabarini wakuu,
Nilikua nahitaji kijana wa kukaa DUKANI (uuzaji)
- Ni duka la jumla lipo maeneo ya gongo la mboto
VIGEZO
Awe anajua kusoma,kuandika na kuhesabu (kuanzia kidato cha nne na kuendelea)
- Jinsia yeyote
- Awe mkazi wa Dar-es-Salaam
- Awe na uzoefu wa kazi za dukani
- Awe mtiifu na mcheshi
Mshahara: Mshahara ni 270,000 chakula cha mchana(lunch) juu yangu mwajiri
Natanguliza shukrani
Acha kukaza hilo fuvu hapo juu ya shingo, hilo ni neno la kawaida na watu wengi wanalitumia hata wakiwa bado wanahitaji hudumaTangazo kinasema, nilikuwa , maana halisi meshamaliza hitaji lake kwa maaana anatumia muda uliopita nyie angaikeni tu huko mp