Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
YesHome of Great Thinkers.
Hii pic huwa inachekesha snaa, dreva wa bas jekundu alifuta tabasam la mwana [emoji1787][emoji1787]iyo picha hua nacheka kichizi kama mazuri
Alikushauri nini kuhusu suala la Katerelo?Baada ya kufika Karagwe na kukaribishwa na warembo, leo nilimtembelea mzee mmoja ili kuchota busara zake maana mimi ni mkazi mpya.
Ushauri wake ulifanya niamini kuwa yule ni kijana wa hovyo aliye zeeka. Kwakifupi kanishauri kupiga mashine watoto wazuri kipindi hiki cha ujana.
Uzi tayari.
View attachment 2463761
Poleni kwa masaibu ya ajali!Baada ya kufika Karagwe na kukaribishwa na warembo, leo nilimtembelea mzee mmoja ili kuchota busara zake maana mimi ni mkazi mpya.
Ushauri wake ulifanya niamini kuwa yule ni kijana wa hovyo aliye zeeka. Kwakifupi kanishauri kupiga mashine watoto wazuri kipindi hiki cha ujana.
Uzi tayari.
View attachment 2463761