Kijana wa hovyo azeeka

Kijana wa hovyo azeeka

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Baada ya kufika Karagwe na kukaribishwa na warembo, leo nilimtembelea mzee mmoja ili kuchota busara zake maana mimi ni mkazi mpya.

Ushauri wake ulifanya niamini kuwa yule ni kijana wa hovyo aliye zeeka. Kwakifupi kanishauri kupiga mashine watoto wazuri kipindi hiki cha ujana.

Uzi tayari.
Screenshot_20221230_214007_com.android.gallery3d_edit_981731272741851.jpg
 
Sasa ulitaka akushauri wewe ndo upigwe mashine? Mi naona kakupa ushauri wa msingi
 
Baada ya kufika Karagwe na kukaribishwa na warembo, leo nilimtembelea mzee mmoja ili kuchota busara zake maana mimi ni mkazi mpya.

Ushauri wake ulifanya niamini kuwa yule ni kijana wa hovyo aliye zeeka. Kwakifupi kanishauri kupiga mashine watoto wazuri kipindi hiki cha ujana.

Uzi tayari.
View attachment 2463761
Alikushauri nini kuhusu suala la Katerelo?
 
Baada ya kufika Karagwe na kukaribishwa na warembo, leo nilimtembelea mzee mmoja ili kuchota busara zake maana mimi ni mkazi mpya.

Ushauri wake ulifanya niamini kuwa yule ni kijana wa hovyo aliye zeeka. Kwakifupi kanishauri kupiga mashine watoto wazuri kipindi hiki cha ujana.

Uzi tayari.
View attachment 2463761
Poleni kwa masaibu ya ajali!
 
Back
Top Bottom