Pre GE2025 Kijana wa Kigoma achora tattoo ya sura ya Waziri Mkuu, Majaliwa kifuani mwake

Pre GE2025 Kijana wa Kigoma achora tattoo ya sura ya Waziri Mkuu, Majaliwa kifuani mwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Costa Boy amesema hana mpango wa kuifuta tattoo aliyochora kwa upendo wake kwa Waziri Mkuu Majaliwa

==
Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?

Kijana mmoja maarufu kama Costa Boy, kutoka Kigoma ameibua gumzo baada ya kuchora tattoo ya sura ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kifuani mwake. Tendo hilo limetafsirika kama ishara ya upendo na heshima kwa kiongozi huyo, ambapo amedai ametumia TSh. 150,000/-

 
Afadhali Samia amepumzika
 
Soon dogo atashikishwa ukuta ndio ajue madhara ya kuchora wanaume zenzake kifuani.
 
Hii nchi kama uchawa na mwendelezo huu .Mwijaku ana siri kubwa ya kijambio chake
 
Back
Top Bottom