Kijana wa kiume fanya hivi kumvutia mwanamke ...

Lizzy Licious wewe huvutiwa na nini?

Honestly....jinsi tu mtu alivyo...anavyojiweka...anavyochukulia na kutreat watu wengine!!Hayo mengine ni nyongeza tu kama nyanya moja kwenye fungu zima!!!
 
unawaza tu kuwavutalia wanawake kitandani, heby fikiria kuboresha maisha ya Mtanzania asiye na chakula, maji, umeme wala mafuta

WEEEE, kila kitu na mahali pake hapa ni mahali pakupeana ushauri kuhusu maisha, urafiki na mapenzi, hakuna maji umeme na mafuta hapa ukitaka nenda jukwaa la siasa hapa si mahala pako.
 
<span style="font-family: comic sans ms">Alafu we sijui ticha? yaani kuwapa wenzio mtihani unapeeenda! Ni PM basi ntakuletea ngararimu nimekuja nazo!</span>!
<br />
<br />
jamani umenitamanisha sana,ngararimu zilizolala na chai ya maziwa, kingine ni kiumbo(qumbo tamka kyumbo ) safi sana,
 
Nyani haoni kundule, kasahau mithread yake ya kizushi huwa tunachangia tu, mpaka zinahamishwa
 
kudadadeki iliniboa ni weekend ilopita nikamtoa masogange out wakati mida inaenda akatokea sharobaro demu kafurahi wakahug afu kamtambulisha kwangu "ths z ma past boyfriend" Jamaa alikuwa mstaarabu fulani hakushoboka ila akaniboa kusema "bro u got a gd grl" alipokaa tu nikazuga tusepe hata mudi ya mikasi ikaisha nimelala na mighadhabu ,ila nshaur nijilipieje? maana hata sjamwambia nampimia
 
Maneno ya kuunga unga. Mnachukua dondoo za maisha ya watu wa magharibi mnazileta kwenye njaa mbaya.

Ukitaka kumfurahisha demu wa kiswahili (hususan wa kichaga), mwaga mkwanja.

Kuhusu mambo ya kihisia, siku moja moja mtie makofi. Usipomtia makofi huwa hajisikii yupo na mwanaume, sanasana ataona yupo na shoga yake kwa hiyo hatajisikia salama.

MAKOFI + NOTI hakuna zaidi
 
Nani kasema mpga pamba ndo anapata demu kirahic kitu pesa ndo inaleta hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…