Kijana wa kiume unakuwaje chawa? Kuna shida mahala

Kijana wa kiume unakuwaje chawa? Kuna shida mahala

Wanasema hakuna tajiri anakosa Mpambe labda kama ni pesa za majini

Kama huna mpambe jua Bado huna pesa na pesa ya kujikimu tu

Yaani uwe na pesa kama pesa ukose mtu au chawa wa kukupa sifa

Hata Mungu tajiri na mmiliki ukimpa sifa na utukufu basi hufurahi, sembuse si binadamu

Hapa utaenda na chawa Gani kati ya hawa watatu

1. Mwijaku

2Baba Levo

3. Dotto Magari
CHAWA wachafu hao. Chukua machawa wenye hadhi na ushawishi kama maggid, Pascal Mayalla, na Tulia Ackson.

Hawa kina chawa wa mama, MamaSamia2025 , Lucas Mwashambwa watakuletea gundu tu
 
Back
Top Bottom