Extra Limo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 210
- 354
Akili nyingi,huyo naamini watampika na kumpa kitengo.Huwa siwaamini sana wamarekani kwenye kumuhukumu mtu anayeijua internet.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii chai ya wapiTanzania inapoteza bill220 kila mwaka kwa ishu za cyber crime
Acha tuu na wanapangiana mishahara monono hatariiiHapa Bongo utakuta mtu ana phd ya ict lakini hata kuhack blogu tu hawezi.
Nenda kwa websites za serikali, zina muonekano mbaya hakuna mfano, nenda websites za vyuo vyetu ndio hazina maana kabisa lakini wana wataalamu wa ict wenye maksi na vyeti vizuri balaa.
😆😆😆😆Vijana wa mataifa yaliondelea wakiwa na miaka kwenye teen wanafanya mambo makubwa sana huku bara la giza kufanya maajabu ni mpaka ufike late 20's!!