Kijana wa miaka 17 akamatwa kwa udukuzi wa akaunti za watu maarufu Twitter

Akili nyingi,huyo naamini watampika na kumpa kitengo.Huwa siwaamini sana wamarekani kwenye kumuhukumu mtu anayeijua internet.
 
Huku bongoland kijana wa miaka 17 anafikiria jinsi ya kula tunda kimasihara...
 
Acha tuu na wanapangiana mishahara monono hatariii
 
Kwa Umri Huo Huku
Atakanatwa Anavuta bange tuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…