Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa... Uclie jaman utapata tena cku ukfklia tu unianze mm hata mchepuko wa mbal ntakubal!Ncherry1 nimekukosea nini mpendwa..
Mbona mim sina shida kabisa na barua ya kwqnza ya maombi lazima ije kwqko wewe
Yeeeleuuwi...Hahaaaa... Uclie jaman utapata tena cku ukfklia tu unianze mm hata mchepuko wa mbal ntakubal!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Heading inaonekana baba anamtaftia kijana ila maelezo yanaonekana baba ndo kijana mwenyewe
hahahhahah kwahiyo sio kijana wake n yyKila la kheri mkuu
Na mimi nikihitaji mchumba nitatumia mbinu hii
Kuna tangazo langu kama hili lipo lavu konekti ebu chukua boda hapo ukalisome bibie...hahahhahah kwahiyo sio kijana wake n yy
Muoneee bhac kama vp mtunuku kbsJamani jamani nimecheka mpk mbv zimeuma. Huyu jamaa kwani ni vp? Nyie wanaume wenzake jirani hebu mpeni mbinu basi. Looo unatuaibisha bn. Zege kihivyo au???
hiyo lavu konekti nitaipata wapiKuna tangazo langu kama hili lipo lavu konekti ebu chukua boda hapo ukalisome bibie...
Si jukwaa la kutafuta wenza....hiyo lavu konekti nitaipata wapi
kwani hapa tupo jukwaa gani DabySi jukwaa la kutafuta wenza....
Oouh.. huu uzee nao haya fekechua nimekutag kauzi kenyewekwani hapa tupo jukwaa gani Daby
nimekumissipo
jamaan hivi pasaka imeshapitaMiss you more sweetie, ndio ukala pasaka bila kunikaribisha?
jamaan hivi pasaka imeshapita
me najua n next week [emoji134] anko magu alegeze kidogo mpk nimesahau
naiona mwezi wa 7 huo narudi kijijini kwetu
Hahahaaa! Jamani nyieee.Mie emmyta ndio kanikumbusha kuwa ishapita hata sikuwa na habari.