Kijana wangu wa kiume amenivunjia heshima

Kijana wangu wa kiume amenivunjia heshima

Habari,

Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.

Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.

Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Itakua unafuatilia sana
 
Habari,

Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.

Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.

Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Dahhh!huyo mtoto wako au wakufikia??
 
Habari,

Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.

Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.

Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Sasa huu uandishi,hii lugha unaandika kutokea Lubumbashi au Kinshasa??? Andika tu Lingara wata translate kuna jirani zako warundi wapo hapa wakimshabikia Magufuli.
 
Habari,

Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.

Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.

Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Pole mama nafikiri kuna vitu hukuvifanyia kazi mapema ndio yamefikia hapo yalipo wazazi wengi wanadekeza sn watoto wao bilakuangalia hatima yao mbeleni,jaribu kufanya yafuatayo
1.tafuta mtu mzima wamakamo aongee nae km ww hakusikilizi anaweza kua mtu wa dini au mtu mnaemheshimu hapo nyumbani
2.km nimlevi mdhibiiti kwenye kipato chake kiburi kinaanzia hapo
3.ukishindwa msweke ndani,wamuweke ijumaa nakumtoa j3 ikiwezekana hatakulipia hili suala fanya hivyo
4.km yote huwezi fanya mfukuze nyumbani akaonje joto ya kodi ya mezani na bili za nyumba ya kupanga
 
Habari,

Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.

Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.

Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Mwache aendelee kukaa mpaka afate wazo la kukuwekea sumu au kukuchoma kisu😆
 
Habari,

Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.

Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.

Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
"Abalini.ni taklibani wikimoja sasa natafakali bada yakijana wagu .niriyemwamini mno
aminijibu vibayajana usiku niripomwita.sebuleni kumuwonya ache uwuni na
washelati.

Nimeri ya usiku kuchana bado ajanihomba musamaha pakamda huu.umli wake ni myaka 26 nafikiliya nimfuguze nyumbonu kwangu."


Hii ingeachwa hivo hivo tuu bana. Tuhangaike nalo kulisoma🤣🤣🤣
 
Habari,

Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.

Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.

Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Pole mzee mwenzangu,watoto ni janga.Ila kosa ni lako,mzee wa miaka 26 wa nini ndani mwako,mfukuze akajitegemee,unamlemaza.Eti unalia kaa!Acha uchuro,mtoto anakuliza!!Fukuza kabisa huyo.
 
Back
Top Bottom