Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.
Itakua unafuatilia sanaHabari,
Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.
Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.
Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Acha upuuziMpumbavu sana wewe,hebu tutolee kiki zako..
Ulisign up vipi kwa muandiko wa kitoto huo
Itapendeza maana hauna contentNishakuwa mzee labda nife
Dahhh!huyo mtoto wako au wakufikia??Habari,
Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.
Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.
Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
SiItapendeza maana hauna content
Sasa huu uandishi,hii lugha unaandika kutokea Lubumbashi au Kinshasa??? Andika tu Lingara wata translate kuna jirani zako warundi wapo hapa wakimshabikia Magufuli.Habari,
Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.
Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.
Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Kwa namna hii Lazima aendeshweUALIM PASIPO ELIMU (UPE)
Andika Vizuri Lugha Tamu Na Adhim Ya Kiswahili
Sasa nimekosea wapi mkuu, nimetoa maoni yanguAcha upumbavu we dogo
Wakati unalia usiku kucha mama ake (mkeo) alikua anasema nini?Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.
Pole mama nafikiri kuna vitu hukuvifanyia kazi mapema ndio yamefikia hapo yalipo wazazi wengi wanadekeza sn watoto wao bilakuangalia hatima yao mbeleni,jaribu kufanya yafuatayoHabari,
Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.
Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.
Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Mwache aendelee kukaa mpaka afate wazo la kukuwekea sumu au kukuchoma kisu😆Habari,
Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.
Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.
Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
"Abalini.ni taklibani wikimoja sasa natafakali bada yakijana wagu .niriyemwamini mnoHabari,
Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.
Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.
Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Pole mzee mwenzangu,watoto ni janga.Ila kosa ni lako,mzee wa miaka 26 wa nini ndani mwako,mfukuze akajitegemee,unamlemaza.Eti unalia kaa!Acha uchuro,mtoto anakuliza!!Fukuza kabisa huyo.Habari,
Ni wiki moja sasa natafakari baada ya kijana wangu niliyemwamini mno
anijibu vibaya usiku nilipomuita sebuleni kumpa onyo ache uhuni na
uasherati.
Nimelia usiku kucha na bado hajaniomba msamaha mpaka muda huu.
Umri wake ni miaka 26, nafikiria kumfukuza kwangu.
Umri wa baba ni mara moja ya umri wa mtoto...kama umri wa mtoto ni miaka 26 baba analingana na ng'ombe...tafuta umri wa baba 😁 mekumbuka shuleUmri wako tafadhali....
Sawa mukuu, sitarudiha tenaJiheshimu