Tunapoelekea uchaguzi mdogo wa serikali na pia hata ule mkubwa kama kijana wa kitanzania unaona nafasi yako ipo katika siasa na changamoto zipi ambazo unaona utapitia au ni kitu gani ambacho kinakukatiza kutoshiriki katika siasa na ushawishi wako katika jamii upo kwa kiwango gani