Kijasusi tunajifunza nini kuchapwa kofi kwa Rais wa Ufaransa?

..kilichonifurahisha mimi ni kwamba aliendelea kusalimiana na wananchi pamoja na kwamba alishambuliwa.

..jingine lililonifurahisha ni kwamba walinzi hawakumshambulia mwananchi aliyefanya vurugu.

..walinzi hawakuwa wepesi kutumia silaha za moto au virungu kukabiliana na mwananchi aliyemshambulia Rais.
 
Mkuu umeandika nadharia mbazo huzielewi na unajaribu kueleza your own infertile imagination.
Mimi huwa nakuita mtaalam wa porojo.
Hata katika historia ya Vita Ya Uganda Mkisi hakuwa ile front line kabisa.
Walioongoza Vita ya Kagera wakati huo walikuwa Ma Brigedia
Brigadier Marwa,
Brigadier Mayunga,
Brigadier Kiwelu,
Brigadier Kimario na
Brigadier Walden (Black Mamba).
Hawa ndio waliongoza Brigades zao kuingia msituni kuanzia Kagera pamoja na wapiganaji.


.
 
Miaka mitano ya Kitabu cha Ujasusi, pata ofa maalumu.....
Habari njema kwangu na kwa Watanzania nikuwa Kitabu chetu pendwa cha Ujasusi baada ya kuingia makubaliano na kampuni ya Kindle Publishers ili wauze kitabu kupitia amazon.com miaka mitano iliyopita,

Sasa kimekubalika na kuingizwa kwenye soko la makampuni makubwa sita ya uuzaji wa vitabu duniani ambayo ni WALMART kupitia link hii hapa Verify your identity

Kampuni ya tatu nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuingizwa na kuuzwa katika soko lake ni BARNES AND NOBLE kupitia link hii hapa Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi|Paperback

Kampuni ya nne nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni THRIFT BOOKS kupitia link hii hapa chini Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi (Afrikaans... book

Kampuni ya tano nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni BOL kupitia link hii hapa chini bol.com | Ujasusi Wa Kidola Na Kiuchumi, Yericko Nyerere | 9789976993608 | Boeken

Kampuni ya sita nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni TANUM kupitia link hii hapa chini Ujasusi Wa Kidola Na Kiuchumi

Kampuni nyingine ya saba ambayo nayo imeruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni EBAY kupitia link hii hapa chini

Kwa wale msiojua kitabu cha mtu ili kiuzwe na kampuni kama Walmart ni mziki mrefu kinatakiwa kitabu hicho kiwe katika ubora wa kimataifa na mwandishi awe alitulizana wakati wa kuandika. Vitabu vinavyouzwa katika masoko hayo hupitia hatua nyingi ndipo viruhusiwe.

Haya yanaweza kuonekana ni mafanikio yangu binafsi, lakini katika tafsiri haya ni mafanikio ya Taifa la Tanzania, ni mafanikio ya Afrika, ni Mafaniko ya Lugha ya Kiswahili. Ni mafaniko dhidi ya ujasuri na uthubutu.

Asanteni sana wadau wote mlioshiriki kwa namna yoyote ili kunifikisha hapa. Miaka mitano ya kukisafirisha kitabu hiki hadi soko la kimataifa ilikuwa migumu na yenye vikwazo vingi sana.

WAHI OFA MAALUMU.

1. Kitabu: Mtu baada ya Mtu, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=

2. Kitabu: Ujasusi, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=

Nunua kwa:

TigoPesa 0715865544
M-Pesa 0755865544
Airtel Money 0788887887
HaloPesa 0624452045
(Yericko Nyerere)

Tuma majina yako na ulipo

(Dar ni free delivery)

Nje ya Dar nauli 8,000/=

Instagram Follow @yerickonyerere
 
Mkuu umeandika nadharia mbazo huzielewi na unajaribu kueleza your own infertile imagination.
Mimi huwa nakuita mtaalam wa porojo.
Hata katika histoia ya Vita Ya Uganda Mkisi hakuwa ile front line kabisa.
.
Nilidhani ukikosoa uchambuzi huu basi utaleta uchambuzi wako.... Kumbe ni porojo vilevile?
 
Huyu Yeriko njaa kali, kutoka 80k hadi 20k? Na bado watu hawanunui
 
Jasusi Yerriko Kazini
 
Lapse in security!

Huyo jamaa angeweza kabisa kumuua huyo Rais kama angekuwa na nia ya kufanya hivyo.

Nani humu anakumbuka jinsi Yitzhak Rabin alivyouliwa 1995?

 
Hili Tangazo umelilipia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…