Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Got bratwurst?đź–•
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Got bratwurst?đź–•
mwenzake george bush junior alikoswa-koswa na kiatu.ashukuru alilambwa kibao tu mwenzake Berlusconi wa Italy alipasuliwa na jiwe ... kwa wenzatu kula kichapo ni sekunde tu hata kama una ulinzi namna gani
View attachment 1813371
Muda ndo uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa na nchi zinazopenda maendeleo ya kweli kwa kutumia nguvu zote nchini zilizopo wanatengeneza mifumo ya muda kutumika vizuri.Ila wenzetu wapo busy jamani
Rais anasalimiwa na watu wachache hivyo?
ingekuwa TZ hapo umati wa watu kibao
Hujaiona video aliokamatwa? Kafungwa pingu kazingirwa na polisi kuliko walivyomzingira rais,
Hatujui hatma yake huko alipo.
hivi yule alimtwangaga mtama mzee mwinyi yupo wapi siku hizi
Tatizo sio kukulia tatizo ni kuja na facts checking, umeandika orodha ya ma-bregedia waliopigana vita ya kagera well and good, ila ajasema nadharia yako ni ipi kwenye shambulizi la raisiCheki the edited post.
Wengine tumekulia huko.
Usilete bla bla.
Alipigwa kofi sababu vijana wengi hawana ajira alafu yeye anakimbia kimbia hovyo hovyo badala ya kutatua tatizo la msingi la ajira. Wenzetu siyo wanafiki wakiwa na hasira unalambwa kibao kufikisha ujumbe.
Utaishaje mzee wangu? Kila nikiwatakia mabaya mnachanua tuUle ugonjwa ulionao wa Yerickophobia haujaisha tu?
Una katatizo fulani ambako kanakuzuia kupima mambo kama thinker.Tatizo sio kukulia tatizo ni kuja na facts checking, umeandika orodha ya ma-bregedia waliopigana vita ya kagera well and good, ila ajasema nadharia yako ni ipi kwenye shambulizi la raisi
Kama ulitaka kukosoa list ya ma-bregedia umekosoa so whats next...?
Naweza sema umetaka tujue na wewe umekulia uko, au ni roho mbaya tu umeamuwa ku-comment utopolo
Mzee Mwinyi hakuwa raisKachapwa kofi Mzee Mwinyi hapa hapa Dar unashangaa Macron kuchapwa kofi Ufaransa!!.
Dramatization nyingiii kwa suala la kibinadamu.
Hv George W Bush alipigwa kiatu mara mbili!!??mwenzake george bush junior alikoswa-koswa na kiatu.
ashukuru Mungu kidogo alikuwa ana maarifa ya kimedani, akakihepa. vinginevyo kingempata.
![]()
Ni Rais mstaafu tangu 1995. Mpigaji wa kofi alifungwa jela mwaka mmoja, nadhani alifariki baada ya kumaliza kifungo.Mzee Mwinyi hakuwa rais