Kijasusi tunajifunza nini kuchapwa kofi kwa Rais wa Ufaransa?

Nani alimbwambia akimbie hovyo?
Bora hata huyo anakimbia hovyo hovyo, Tanzania tulikuwa na mduanzi mmoja yeye badala ya kukimbia hovyo alikuwa anakula mahindi ya kuchoma hovyo hovyo na kutukana mama zetu hovyo hovyo eti wanataka kupanuliwa wapi, amekufa na mavi yake sasa hivi
 
Alipigwa kofi sababu vijana wengi hawana ajira alafu yeye anakimbia kimbia hovyo hovyo badala ya kutatua tatizo la msingi la ajira. Wenzetu siyo wanafiki wakiwa na hasira unalambwa kibao kufikisha ujumbe.
Safi sanaaa..katandikwa Kofi na msg kapata.
 
Proud of you Yericko.. uchambuzi mzuri.
Proud of you Yericko..uchambuzi mzuri.
 
Hii ndiyo inaitwaga "mumbo jumbo" au nonsense au bullshit
 
Alipigwa kofi sababu vijana wengi hawana ajira alafu yeye anakimbia kimbia hovyo hovyo badala ya kutatua tatizo la msingi la ajira. Wenzetu siyo wanafiki wakiwa na hasira unalambwa kibao kufikisha ujumbe.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku nyingine atapunguza Mapepe...

Andiko zuri Kaka hongera sana
 
..angekuwa Tz angeumizwa vibaya sana, na pengine kuuwawa.
Hujaiona video aliokamatwa? Kafungwa pingu kazingirwa na polisi kuliko walivyomzingira rais,

Hatujui hatma yake huko alipo.
 
Waswahili mnajua tantalila utadhani kama unaijua biashara ya vitabu...

Ndugu nina mwaka wa tano sasa kwenye tasnia hii, mimi sio mjinga naijua biashara na huu ndio Ujasusi wa kiuchumi..... Utaniona kesho, keshokutwa na mtondogoo nikiwa nasinga mbele
 
Kachapwa kofi Mzee Mwinyi hapa hapa Dar unashangaa Macron kuchapwa kofi Ufaransa!!.

Dramatization nyingiii kwa suala la kibinadamu.
 
Bora hata huyo anakimbia hovyo hovyo, Tanzania tulikuwa na mduanzi mmoja yeye badala ya kukimbia hovyo alikuwa anakula mahindi ya kuchoma hovyo hovyo na kutukana mama zetu hovyo hovyo eti wanataka kupanuliwa wapi, amekufa na mavi yake sasa hivi
Duuuh 🤣🤣🤣
 
basi alipangwa huyo mrushaji makofi.

yule jamaa aliyempiga bushi na kiatu alikaa ndani maiaka 3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…