Abuunuuman
Member
- Sep 11, 2021
- 20
- 29
Kijiji cha malkia HANGAYA SULUHU
Hupewa mfano wa kijiji kilichotawaliwa na wageni ambacho kilikuwa na amani na utulivu
Watu wake hupata chakula chao kutoka katika rasilimali zilizopo ndani yake
Wanaishi na kuendesha kijiji chao kwa rasilimali hizo.
Yakapita majira na miaka baadae watawala wa Kijiji hicho utu wao na nidhamu yao ikaanza kupotea
Ukaanza ufisadi juu ya Mali walizonazo.
Kutokana na matabaka ya walionacho dhidi ya wanyonge
Watoto walitumikishwa kazi mbalimbali za kijamii kama ni watu wazima wadogo
Wanawake waliupoteza utu wao zaidi kutokana na ugumu wa maisha yaliyoisibu jamii yao.
Hali ilipofika hapo ikawapata njaa kali na amani kutoweka kabisa katika kijiji hicho.
Kikabaki kuwa ni kijiji cha mfano kwa methali ya kiswahili isemayo "lakuvunda halina ubani"
Kwa Mapenzi ya mwenyezi mungu wanakijiji walijitwalia uhuru wao kutoka kwa utawala huo wa kibeberu uliopo hapo kabla.
Wakatawala viongozi wazawa makini waliokomaa kidemokrasia.
Baadae kidogo akapatikana kiongozi jasiri mwenye uthubutu wa mafanikio aliyetembea na kauli mbiu ya HAPA KAZI TU
Kutokana na utendaji wake Kijiji hicho kikawa ni shubiri Kwa mataifa ya kigeni na nuru ya mabadiliko Kwa wazawa
kisha kiongozi huyo jasiri akaondoka zake njiani wakati kijiji hicho kilimuhitaji zaidi aendelee kuwaongoza watu wake
Bahati iliyoje kuibuka Kwa chifu hangaya aliyeliongoza taifa hilo katika mabadiliko kwa kauli mbiu ya KAZI IENDELEE.
Nduguzangu wanakijiji tuilinde tunu ya amani na utulivu tuliyonayo.
Jamii yenye ukomavu mzuri wa kidemokrasia na utawala bora tulionao haki zote za msingi zenye ustawi ikiwemo ajira Kwa vijana zitapatikana.
Amani na utulivu ndio msingi bora na imara wa maendeleo ya kila kijiji kwa kila
Kijiji chetu cha Tanzania ni amani na tulivu.
Hupewa mfano wa kijiji kilichotawaliwa na wageni ambacho kilikuwa na amani na utulivu
Watu wake hupata chakula chao kutoka katika rasilimali zilizopo ndani yake
Wanaishi na kuendesha kijiji chao kwa rasilimali hizo.
Yakapita majira na miaka baadae watawala wa Kijiji hicho utu wao na nidhamu yao ikaanza kupotea
Ukaanza ufisadi juu ya Mali walizonazo.
Kutokana na matabaka ya walionacho dhidi ya wanyonge
Watoto walitumikishwa kazi mbalimbali za kijamii kama ni watu wazima wadogo
Wanawake waliupoteza utu wao zaidi kutokana na ugumu wa maisha yaliyoisibu jamii yao.
Hali ilipofika hapo ikawapata njaa kali na amani kutoweka kabisa katika kijiji hicho.
Kikabaki kuwa ni kijiji cha mfano kwa methali ya kiswahili isemayo "lakuvunda halina ubani"
Kwa Mapenzi ya mwenyezi mungu wanakijiji walijitwalia uhuru wao kutoka kwa utawala huo wa kibeberu uliopo hapo kabla.
Wakatawala viongozi wazawa makini waliokomaa kidemokrasia.
Baadae kidogo akapatikana kiongozi jasiri mwenye uthubutu wa mafanikio aliyetembea na kauli mbiu ya HAPA KAZI TU
Kutokana na utendaji wake Kijiji hicho kikawa ni shubiri Kwa mataifa ya kigeni na nuru ya mabadiliko Kwa wazawa
kisha kiongozi huyo jasiri akaondoka zake njiani wakati kijiji hicho kilimuhitaji zaidi aendelee kuwaongoza watu wake
Bahati iliyoje kuibuka Kwa chifu hangaya aliyeliongoza taifa hilo katika mabadiliko kwa kauli mbiu ya KAZI IENDELEE.
Nduguzangu wanakijiji tuilinde tunu ya amani na utulivu tuliyonayo.
Jamii yenye ukomavu mzuri wa kidemokrasia na utawala bora tulionao haki zote za msingi zenye ustawi ikiwemo ajira Kwa vijana zitapatikana.
Amani na utulivu ndio msingi bora na imara wa maendeleo ya kila kijiji kwa kila
Kijiji chetu cha Tanzania ni amani na tulivu.