Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Wakulima wamesema kuwa wametoa taarifa sehemu husika lakini hawajafanikiwa kupata msaada wa kuwadhibiti, hivyo wanyama hao kufanya maeneo hayo ya mazao kama sehemu ya malisho.
Soma Pia: Kilimanjaro: Wakulima Vijiji vya Hai walalamikia changamoto ya tumbili kuharibu mazao, waomba msaada Serikalini