Analyse JF-Expert Member Joined Jan 19, 2014 Posts 17,637 Reaction score 47,413 Dec 2, 2021 #2 [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Lameck Masanja Senior Member Joined Aug 5, 2011 Posts 153 Reaction score 238 Dec 2, 2021 #3 Miaka hiyo tuseme ukoloni ulikuwa haujafika kwetu. Nyakati hizo hapa kwetu tulishakuwa tumefika viwango hivyo? Huwa nawaza hawa jamaa wametuzidi wapi?
Miaka hiyo tuseme ukoloni ulikuwa haujafika kwetu. Nyakati hizo hapa kwetu tulishakuwa tumefika viwango hivyo? Huwa nawaza hawa jamaa wametuzidi wapi?
Yesu Anakuja JF-Expert Member Joined Apr 10, 2019 Posts 12,675 Reaction score 25,924 Dec 2, 2021 #4 chukua mainjinia wetu wa pale udsm,wape kazi kujenga kijiji uone kama watafikia kiwango hicho. sijui huwa wanasoma nini. hata vijengo wanavyojenga mitaani unaviona kabisa kama vinataka kudondoka. hao walijenga enzi hizo hata cement hakuna.
chukua mainjinia wetu wa pale udsm,wape kazi kujenga kijiji uone kama watafikia kiwango hicho. sijui huwa wanasoma nini. hata vijengo wanavyojenga mitaani unaviona kabisa kama vinataka kudondoka. hao walijenga enzi hizo hata cement hakuna.