Kijiji kilichojengwa enzi za Dola ya Roma kipo nchini Italia

[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 
Miaka hiyo tuseme ukoloni ulikuwa haujafika kwetu. Nyakati hizo hapa kwetu tulishakuwa tumefika viwango hivyo? Huwa nawaza hawa jamaa wametuzidi wapi?
 
chukua mainjinia wetu wa pale udsm,wape kazi kujenga kijiji uone kama watafikia kiwango hicho. sijui huwa wanasoma nini. hata vijengo wanavyojenga mitaani unaviona kabisa kama vinataka kudondoka. hao walijenga enzi hizo hata cement hakuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…