SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Aisee waarabu wamepigwa Sana na majanga
Anzia uturuki vifo 50000+( elf 50)
Libia vifo (10000+) elf kumi
Moroko 4000+
Aisee majanga ya asili noma
 
Malizia kwa kuuliza ili wakaswali wakina nani?
Msikitini uwa wanaswali waislamu binadamu na majini (demons)

Koran 72:1. Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!
 
Mkuu kibinadamu na kama una akili timamu sidhani kama ni busara kusema hiyo kauli yako kama huna la kuongea sio vibaya kukaa kimya pia
 
yesu ana nguvu gani za kulipiza katundikwa msalaba na kijana moja tena mlemavu wa mguu kamkamata kampigilia msumari akawa anaomba msaada nisaidieni sirudii tena nimekoma halafu huyo ndie alipeze kisasi
Huyo allah mwarabu msenge na mtume wake muddy govi hakutahiriwa alikuwa anapaka wanja na hina.
 
Binadamu wa kwanza tangu nione jua kuona anafurahia vifo kwa binadamu wenzake

Dont tell me huyo mungu wa kweli ni man made
Mungu huyo huyo alileta gharika Duniani enzi za nuhu,na wakishupaza shingo mapigo bado 😁
 
A
ngalia mwonekano wa hayo majengo kabla ya tetemeko , je yanafanana na hizo zilizofutika?
 
Ndg watu wamekufa kwa maelfu halafu wewe unaleta stori za jengo. Kwa hiyo unataka kumwaibisha alah kwamba ameacha watu wafe bila kuwatetea na akaona bora alitetee jengo lililojengwa na wanadamu siyo?
 
Kwa hiyo hata nyumba za Maimamu, mashehe etc zimesombwa kwa sababu wenyewe ni wadhambi watupu? Kule Saudi radi ilipiga eneo takatifu, hapo tuhitimishe vipi?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Watoto wa munyaazi mungu kazi kweli kweli umesahau na kule Libya inasemekana wakat wa mafuriko ya juzi Kuna msaafu umekutwa haujaloa hata chembe na nyumba ulimokuwemo imeindoka yote na maji.

Takbiiiir!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…