Kijijini kwetu huku Yaleyale Puna

kunze

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2016
Posts
398
Reaction score
469
Yaani nikiiona hii Picha,inanichanganya sana kiasi cha kushindwa kuvaa vest au kutembea kifua wazikwenda hata dukani kwa Mpemba hapo.

Maana kwa mwili huu wa huyo mpachika mabao hatareee,nikijiangalia vimbavu vyangu,naishia kuvaa shat la mikono mirefu kuficha kabisa mbavu zangu.

Nawashauri wenzangu, msiwe mnavaa vest au tumbo wazi mwili mbaumbau.

Yale Yale Puna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…