Kijijini wananiita Daktari

πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜› we jamaa km unayoandika hapa unatunga mwenyewe basi unakipaji sana cha kuchekesha geuza hivi vichekesho ongeza udabwi dabwi rekodi kwenye camera tupia youtube huko au ingia mkata na jamii forum uwe unatupia humu. mfano wa joti tv. hakika hutajuta...
 
Write your reply...HAKUNA CORONA NI STORY ZA KUFIKIRIKA TU MKUU DAKTAR WA MENO MBONA MI KILA SIKU NADHURURA SIPATI
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Nadhani sasa atakuwa amekamilika, atasomba mabinti wote wa hapo kijijini.
ila we chaliii eti
πŸ‘“+πŸ‘•+πŸ‘ŸπŸ‘Ÿ eti anasaidia wana kijiji
 
Hiv mzee inawezekana kuingia mkataba na hawa mabepari wa jf? Wakulipe?

Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
 
Kijiji cha msela huenda bado wanajua lowassa ni waziri mkuu..
"ninawajibu kila kitu kuhusiana na corona pia kila kitu kipya Mimi ndo huwa nawaonesha....." kuna watu pepo wataionaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
upo karibu kutolewa posa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi ulijinasibu hapa jukwani kuwa unahitaji kufanya upasuwaji kwa mafunzo uliyoyapata YouTube,vipi na iyo elimu unaitumia apo kijijini kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…