jamani daktari gani Dar anaweza kumsaidia ndugu yangu ambaye ni mvulana miaka 19 mwaka wa pili ana kijipu kinaota ndani ya pua na kinamletea maumivu baada ya muda kinatoweka na baada ya miezi kinarudi .pia aliyewahi pata hii shida atupe atupe ushauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.