JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Maamuzi hayo yanatarajiwa kufanywa na Serikali ya Mtaa wa Bwawani Kata ya Kijitonyama, Dar es Salaam kwa wale watakaokaidi kulipa kutoa ushirikiano kwa ulinzi shirikishi.
Mwenyekiti wa Bwawani, Felicianus Kamkala amesema “Wapo baadhi ya raia wanaotaka kuleta mgomo wa kuchangia fedha za motisha kwa vijana wanaofanya zoezi la usalama mtaani, tumeandaa barua kwa Polisi Kata, tutawaletea hizo barua za kuwapeleka Kata kisha Mahakamani ili waone hili suala tupo nalo makini.”
Chanzo: EATV
Mwenyekiti wa Bwawani, Felicianus Kamkala amesema “Wapo baadhi ya raia wanaotaka kuleta mgomo wa kuchangia fedha za motisha kwa vijana wanaofanya zoezi la usalama mtaani, tumeandaa barua kwa Polisi Kata, tutawaletea hizo barua za kuwapeleka Kata kisha Mahakamani ili waone hili suala tupo nalo makini.”
Chanzo: EATV