Kijiwe Cha tunaoangalia Cafcl Al hilal vs Mamelod huku tukiomba Al ahal atoke kwenye mashindano

Kijiwe Cha tunaoangalia Cafcl Al hilal vs Mamelod huku tukiomba Al ahal atoke kwenye mashindano

Al Hilal atapigwa mkuu nakuambia... Kwanza fujo za mashabiki, moto nk zitawapa hofu mno
Al hilal afungwi na Al ahaly,Al hilal atashinda au ata droo.uwezi amini lakini uo ndo ukweli.
Kuna watu walisema leo Al hilal ataoga mvua ya magoli kutoka kwa Mamelody umeona nini kimetokea?
 
Al ahal ni timu gani na ni ya nchi gani, sijawahi kusikia timu kama hiyo popote pale duniani.
 
Ngoja tuone mechi ya mwisho misri, nafasi za mechi ya Leo wataziota kama watagongwa mvua za haja huko misri.
 
Back
Top Bottom