Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mtu aliyeiandaa hiyo orodha ni mnazi wa mikia fc. Kichuya haiongozi hiyo orodha, anayeongoza ni Amis Tambwe akifuatiwa na Saimon Msuva.
Mkuu hii 9 ya Amisi Tambwe umeisoma juu-chini nini? Kama hivyo basi ni kweli kauli yako kwamba hata Tambwe mwenye magoli yako 6 anazidiwa na Kichuya mwenye magoli halisi 9!Hivi unapata vipi uthubutu wa kusema washambuliaji wa kigeni ni bora wakati;
1. Wote wamezidiwa magoli na wazawa.
2. Mshambuliaji ambaye kazi yake ni kufunga, anamzidi goli 2 kiungo ambaye kufunga si mambo yake.. kweli alafu unasema mna washambuliaji bora?? Hamuoni aibu!!
NB; Forward wa kigeni wa Yanga ni afadhali [na si bora].. Wa Mnyama mkali mwituni pengine kuliko wote, Simba .. bado wanaadapt mfumo wa mwalimu.. ila soon mtaona vitu vyao
Hapa nilikua namzungumzia forward bora kabisa ya kimataifa kuwahi kushuhudiwa katika, bwawa la Jangwani.. Donald Ngoma.Mkuu hii 9 ya Amisi Tambwe umeisoma juu-chini nini? Kama hivyo basi ni kweli kauli yako kwamba hata Tambwe mwenye magoli yako 6 anazidiwa na Kichuya mwenye magoli halisi 9!
Nilichokielewa hapa ni.. Ni dhahiri mwaka huu wapo vizuri.. ungemalizia tu, na mwali msimu huu ni wao, japo tunajilazimisha kubisha.
Umeongea vyema sana Mkuu.. Mwenye macho ameona.. Mwenye uelewa kaelewa.Kama kawaida yao wanajaribu kubadili ukweli kwamba Simba anaongoza tena kwa pointi 4.Kocha yeyote mzuri anapoanza kujenga timu ni lazima aanze na defence. Na kwa defence za timu zote hamna ubishi kwamba ipi ni bora mpaka sasa. Unaweza ukawa na washambuliaji wazuri ukawa una concede magoli ya hovyo. Pia unaweza kuwa na defence nzuri kama ya Simba ukashinda kwa sababu risk ya kufungwa inakuwa ndogo. Mourinho na Man United ni mfano hai wa ninayosema. Ameweza ku sort out defence timu imeanza kucheza kwa kujiamini hivyo hivyo kwa Conte ambaye baada ya kufungwa goli 3 na Arsenal alibadili mfumo na defence ikawa stable na matokeo yanaonekana . Arsenal wamekuwa na tatizo hilo miaka nenda rudi ya kuwa na viungo wazuri na washambuliaji wazuri bila walinzi wazuri.Ndio maana Arsenal amejaribu kuimarisha defence .
Basi kama ni hivyo basi ya Jangwani waachie Jangwani wenyewe, wao wanajua zaidi nani ni forward bora zaidi wa kigeni kuwahi kuwa naye: Mwalala, Ambani, Nonda, .......Hapa nilikua namzungumzia forward bora kabisa ya kimataifa kuwahi kushuhudiwa katika, bwawa la Jangwani.. Donald Ngoma.
Kwamba mpo vizuri halina ubishi lakini halimaanishi ubingwa moja kwa moja.
Kuna vikwazo mbele yenu. Hamfungi magoli mengi. Kuna yellow/red card kwenye mchezo hasa ukizingatia mna first eleven nzuri lakini kwenye benchi la sub si wazuri sana. Kuna wachezaji kuumia pia.
Zote hizo ni factors muhimu kulelekea ubingwa.
Umeandika kama mwanamichezo. Factors ulizozisema zina athiri timu zote na sio special kwa Simba. Mfano hai mlipomkosa Ngoma kwa sababu ya kadi 3 njano dhidi ya African Lyon pengo lilionekana wazi kwani hamkuwa na plan B ya kutafuta magoli .Kwamba mpo vizuri halina ubishi lakini halimaanishi ubingwa moja kwa moja.
Kuna vikwazo mbele yenu. Hamfungi magoli mengi. Kuna yellow/red card kwenye mchezo hasa ukizingatia mna first eleven nzuri lakini kwenye benchi la sub si wazuri sana. Kuna wachezaji kuumia pia.
Zote hizo ni factors muhimu kulelekea ubingwa.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kingine kinachofurahisha na kushangaza ni kwamba magoli ya penalti kwa timu fulani yamepungua msimu huu ukilinganisha na msimu uliopita. Sijui sababu ni mkwara wa Saanya umesababisha au miamala imepungua nguvu?
Kajifunze kuandika ueleweke halafu rudi ujaribu kuandika tena.Ushindi wa kusua sua kila siku kigoli kimoja afu angalia yanga wana wafungaji wangapi....!!! Apo utajua ata mkichukua ubingwa... mwsho wenu chalinzeee
Mkuu Sibonike gazeti bora la michezo kwa sasa linaloandikwa kwa lugha ya kiswahili duniani.. Msimbazi limezungumzia inshu ya upana wa kikosi.. Nawanukuu.. "Kinatoka Chuma kinaingia Chuma Kwa Sasa"
![]()
... kwa habari zaidi jipatie nakala yako leo.
Mkuu mimi hua nadili na vitu bora.. Msimbazi ni gazeti bora kwa sasa kutokana na utafiti uliofanyika hivi punde.Hilo gazeti hata bure sichukui.
Kwani Mkuu, unategemea hilo gazeti litaandika nini zaidi ya ushabiki?
Wewe unasoma gazeti la Jangwani?
Mkuu sibonike achana na hao malimbukeni , hawajui chochote zaid ya mihemko, Yanga itawadhihilishia soon ubora wakeKwamba mpo vizuri halina ubishi lakini halimaanishi ubingwa moja kwa moja.
Kuna vikwazo mbele yenu. Hamfungi magoli mengi. Kuna yellow/red card kwenye mchezo hasa ukizingatia mna first eleven nzuri lakini kwenye benchi la sub si wazuri sana. Kuna wachezaji kuumia pia.
Zote hizo ni factors muhimu kulelekea ubingwa.
Mda unaenda Mkuu.. hiyo soon itafika lini? Endeleeni kusubiri kutudhihirishia wakati sisi tunachanja mbuga.. Hadi hiyo soon yenu ifike.. sisi tutakua tushatangaza ubingwa kitaaaaaambo.Mkuu sibonike achana na hao malimbukeni , hawajui chochote zaid ya mihemko, Yanga itawadhihilishia soon ubora wake