Kijue kipimo cha kupimia Maisha

Kijue kipimo cha kupimia Maisha

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
2,705
Reaction score
4,967
Salama Ndugu zangu?

Maisha hayapimwi kwa wingi wa mali, fedha, dhahabu n.k vinavyomilikiwa na mtu, familia, ukoo, Mtaa, kijiji, Wilaya, Mkoa, Taifa, Bara.

Bali maisha yanapimwa kwà UTU (Akili, Elimu, Maarifa na Maono). Faida za UTU ni kuwa na AFYA kwenye AKILI, kuipa ELIMU uhai, kuyapa Maarifa Uzima na kuyafanya Maono kuwa na Pumzi ya kutosha.

Note 1: Tumeumbwa ili kuja kujibu MITIHANI YA MAISHA, na ili tuweze kuyashinda MAJARIBU YA DUNIA.

Ushauri kwà Viongozi pamoja na Watumishi wa Umma wa Taifa langu la Tanzania. Ndugu zangu, chondechonde, embu kuweni na UTU. Acheni kutesa watu wasiokua na hatia. Msitumie vyeo vyenu kujinufaisha wenyewe pamoja na familia zenu, marafiki, ndugu na jamaa zenu. Mjajisababishia kuwa na matatizo ya AFYA YA AKILI.

Na ni hatari sana kwà mifumo ya Serikali kuwa na idadi kubwa ya Viongozi na Watumishi wenye tatizo la Afya ya Akili. Mnatesa watu sana!

Note 2: Ukitaka kuacha LEGACY jitahidi kuishi kwà kuzingatia UTU



map-of-tanzania-with-flag-vector-design-element.jpg

 
Mkuu
Salama Ndugu zangu?

Maisha hayapimwi kwa wingi wa mali, fedha, dhahabu n.k vinavyomilikiwa na mtu, familia, ukoo, Mtaa, kijiji, Wilaya, Mkoa, Taifa, Bara.

Bali maisha yanapimwa kwà UTU (Akili, Elimu, Maarifa na Maono)

Note: Tumeumbwa ili kuja kujibu MITIHANI YA MAISHA, na ili tuweze kuyashinda MAJARIBU YA DUNIA.

Ushauri kwà Viongozi pamoja na Watumishi wa Umma wa Taifa langu la Tanzania. Ndugu zangu, chondechonde, embu kuweni na UTU. Acheni kutesa watu wasiokua na hatia. Msitumie vyeo vyenu kujinufaisha wenyewe pamoja na familia zenu, marafiki, ndugu na jamaa zenu.



View attachment 2630948
Mkuu mbona kama unatulaani watumishi wa umma! Kumbuka wewe ulishastaafu
 
Mimi nilijua unaleta kile kipimo ambacho kinaweza kuhesabu mpaka siku zako.
Kumbe ni ngonjera
Mwisho wako wa kufikiri ndio umeishia hapo Ndugu. Umeshindwa kusoma btn the lines ukaokota hata kachupa ka maji kaka kusaidia?
 
Mkuu

Mkuu mbona kama unatulaani watumishi wa umma! Kumbuka wewe ulishastaafu
Kunà baadhi yenu ni watu wa hovyo sana. Mnatesa sana watu wasiokua na hatia.

Yaani kitu cha kufanya siku Moja au wiki Moja au mwezi mmoja ...Mnakifanya kwà miaka zaidi ya 7 ...kweli? Daah sio poa!!!
 
Viongozi wengi pamoja na Watumishi wa Umma , Wana matatizo ya AFYA YA AKILI.
 
Back
Top Bottom