Kijuso vs Aje remix ipi video kali ?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu acha utani wewe aje remix ni next level ile ni ya ki mataifa zaid . hiyo kijuso ni nzur ila haiwez kuzid aje remix
 
Mbona hamtaki kuziweka tuone maana Mimi simu yangu nilikuwa natumia supermate kudownload nyimbo sasa hivi inanikatalia inaandika unfortunately Google stopped so mwenye download nzuri ambayo haisumbui anisaidie ili nione kinachoendelea
 
Una akili sana
 
kijuso na natafuta kiki ni nyimbo kama zinaflaw same way...wameongezea radha flani za kidully...ila kwa upande wa video zote nzuri...kijuso imefuata script ila director amezidiwa kwa kuwa too much ila kwa upande wa aje remix ipo on simplicity way na pia corporate kiurban zaidi hii inaweza fanya vizuri kimataifa kuliko kijuso
 
Aje haina creativity yyt ni one location na light za kutosha kama upo coke studio
 
Mbona hamtaki kuziweka tuone maana Mimi simu yangu nilikuwa natumia supermate kudownload nyimbo sasa hivi inanikatalia inaandika unfortunately Google stopped so mwenye download nzuri ambayo haisumbui anisaidie ili nione kinachoendelea
Download tubemate kwenye google, usipitia google playstore
 
Alikiba vs wcb (Diamond, rayvan, harmorapa tholliii harmonaiz, richard, queen darlin)...yaani timu nzima inashindana na mtu mmoja na anawatoa jasho...aisee muwe na hata ka aibu kidogo
We ndo umeua kumbe anashindanishwa na kundi
 
Aje haina creativity yyt ni one location na light za kutosha kama upo coke studio
Mtu akiwa na gubu hata ukiogelea atakwambia unamtimulia vumbi....hivi salome na my number 1 remix zina location ngapi????
 
Ngoma mpya ziko nyingi sana kama unaujua mziki najua unaona na kuusu wimbo alio copy unaitwa FINE FACE-KCEE ingia mtandaon sikiliza
 
Diamond kakopy na kupaste nyimbo ya kcee wa naigeria inaitwa 'I want to see your face' ila tuache ushabiki aje remix video ni fireeee kila kitu kiko on point wanavyocheza ndo wananimaliza kabisaaa
We uko sawa unajua ukishakua msanii mwenye jina kubwa usikopi kitu we ndo waku copy[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12]
 
Huna hoja, ungekuwa unataka kuuliza hilo swali ungeuliza kabla hujaulizwa.

Nilishakuambia na ninarudia tena, hamna unachojua kwenye muziki zaidi ya hizo story zenu za vijiweni na watoto wenzio.
Kuna watu mziki hawaujui ila wapo tu kimkumbo mkumbo ataukimuuliza hawezi to a jibu wala maelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…