Kuwa na location moja cyo tatzo.....tatzo linaloitesa aje remix hauna ubunifu afadhari uangalie ata video za coke studioMtu akiwa na gubu hata ukiogelea atakwambia unamtimulia vumbi....hivi salome na my number 1 remix zina location ngapi????
Ila umeona nn kinafananaNgoma ata hazifanani au tunatofautiana masikio
Mziki n nn?Uliza chochote chenye msingi nikujibu
No any connectionIla umeona nn kinafanana
Jaman mchepuko una wivu wewe Sky Elcat wangu hagusi jaman Nifa Bae acha hizo jamanMmefuraaaaaahi kwelikweli eeeh? Simu lazima zichunguzwe tu,no way.
Ni mpangilio wa ala na uimbaji unaoleta athali Fulani kwa kiumbeMziki n nn?
Ndio maana nakuambia upo kama bendelaNo any connection
Mziki mzuri ukojeNi mpangilio wa ala na uimbaji unaoleta athali Fulani kwa kiumbe
Uliza jingine
NJOO PM NKUPE HELAHahaha, jamani, iyo Video ya aje nimeiona na Video ya kijuso pia ILA kwa quality ya Video aje IPO juu sana , nazungumzia short zilivyo chukuliwa na editor alivyo edit imekaaa vizuri zaid!! Changamoto kwa kiba ni script!!!
Kijuso imee kaaa local yaani SOKO la ndani, short zakawaida sana na script ni yakawaida mno na idea ya Video hiyo na natafuta kiki zimekuwa kama sawa, ingawa director kajitahid kitanzania tanzania ILA short still ziko kwaida sana!!! Ni video ambayo inafanyika kirahis sana!!! Haina uniqness yoyote, so niyakawaida TU!!
so Aje Ninzuri kama utachambua kwa kuacha utim!!!
Mziki mzuli ni ule wenye ujumbe ambao unaweza kusikilizwa na lika zoteMziki mzuri ukoje
Gud music kwa mond hawez yaan nymbo zake za ndugu zake baadh ya collabo ni kelele tu labda zle ukimuona,mapenz basi,utanipenda atleast kidgo alijitahd ila kidogo,cjui kokoro,marry you yenyew neyo kaanzisha vzur ila mtz wetu alvodakia na kupuyang humo nymbo ikawa mbovu....but kwa king hata siongeiMziki mzuri ukoje
Kuna watu huwa wanaongea vitu ghali sana!!!! Mfano ni haya maneno uliyoyaongea mkuu, watu tujifunze.Namwelewa sana kiba....
..napenda jitihada za mond.....namheshimu sana Ngosha......Ntaumia mwana fa akiacha mziki.....siioni hip hop laini ya kuvutia km ya joh makini....napenda kuskia belle9+Barnaba+BenPol+Jux kila siku......naukosa ukweli toka kwako mpoto+Roma+bonta+kala n.k
.......
Wasanii wote wetu hakuna anaejua zaidi ya mwingine ila kila mtu na njia anayoamini.....Msifosi wafanane Tutakosa radha
Nimeuliza mziki mzuri ni upi na ww unakurupuka cjui umetokea wapi.....unafikiri hisia zako ndo zitakuleta kwny conclusion...... Kusema huu mziki mzuri huu mbaya ni kutoka na na hisia za msikilizaji ww wimbo fulani unaweza ukauona mzuri mwingne akauona mbaya so usilete conclusion zako apa za utimuGud music kwa mond hawez yaan nymbo zake za ndugu zake baadh ya collabo ni kelele tu labda zle ukimuona,mapenz basi,utanipenda atleast kidgo alijitahd ila kidogo,cjui kokoro,marry you yenyew neyo kaanzisha vzur ila mtz wetu alvodakia na kupuyang humo nymbo ikawa mbovu....but kwa king hata siongei
Sio kukurupuk nami nmetoa yang coz ww najua ni die fan wa mondNimeuliza mziki mzuri ni upi na ww unakurupuka cjui umetokea wapi.....unafikiri hisia zako ndo zitakuleta kwny conclusion...... Kusema huu mziki mzuri huu mbaya ni kutoka na na hisia za msikilizaji ww wimbo fulani unaweza ukauona mzuri mwingne akauona mbaya so usilete conclusion zako apa za utimu
Kwani hujajibiwaNimeuliza mziki mzuri ni upi na ww unakurupuka cjui umetokea wapi.....unafikiri hisia zako ndo zitakuleta kwny conclusion...... Kusema huu mziki mzuri huu mbaya ni kutoka na na hisia za msikilizaji ww wimbo fulani unaweza ukauona mzuri mwingne akauona mbaya so usilete conclusion zako apa za utimu