MBOKA NA NGAI JF-Expert Member Joined Jan 31, 2025 Posts 350 Reaction score 576 Mar 12, 2025 #1 Hii ni tarehe 18 March, 2025 huko Angola. Serikali ya DRC ina wafungwa wengi wa AFC/M23. Ombi la kwanza la hawa viumbe, ni kuhakikisha wanaachiwa huru kabla ya mazungumzo. Nani ana tiketi ya mazungumzo sasa!!!
Hii ni tarehe 18 March, 2025 huko Angola. Serikali ya DRC ina wafungwa wengi wa AFC/M23. Ombi la kwanza la hawa viumbe, ni kuhakikisha wanaachiwa huru kabla ya mazungumzo. Nani ana tiketi ya mazungumzo sasa!!!
Mateso chakubanga JF-Expert Member Joined May 10, 2021 Posts 587 Reaction score 800 Mar 12, 2025 #3 Ile microphone pale daaah sawa