Kikao baina ya DRC na M23

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Hii ni tarehe 18 March, 2025 huko Angola.

Serikali ya DRC ina wafungwa wengi wa AFC/M23. Ombi la kwanza la hawa viumbe, ni kuhakikisha wanaachiwa huru kabla ya mazungumzo.

Nani ana tiketi ya mazungumzo sasa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…