Kikao cha CCM: RA Atema Cheche "Nitajiuzulu...."

Sio kutafuta RA ajiuzulu bali kama Tume ya Mwakiembe ilisema kweli, ilitenda haki na hakua na motives behind mlolongo wa majungu haya yanayoendelea.

Pasco hivi utakua lini kaka, hivi kuna haja ya kutafuta ushahidi mwingine juu ya RA, mimi naona hilo halina haja tena, make Kagoda ni ushahidi tosha kuwa jamaa ni Fisadi, alichokimbilia kurithi mikoba ya Richmond haraka haraka hiyo yote ilitoka wapi, kama sio walikuwa wanapasiana mipira na kaka yake EL, hajalishi jamaa anataka kujisafisha vipi, lakini Watanzania watakuwa wapuuzi vipi kurusu mjadala wa aina hiyo, PAYE zetu zitumike vibaya hivo, kuna haja ya kuanza kununua stoke za mapanga kama ilivokuwa Rwanda 1994-----we are desperately tired of this.
 
nchi imeuzwa tumebaki kupiga soga tuuuuuuuuuuuuuuu.......huku twaibiwa
 
ra ajiuzuru....nadhani hata wana igunga watafurahi....je
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…