Lets Share
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 517
- 718
😂 😂 😂 😂 😂 😂Mpuuzi wewe ukute unamiliki tecno na huna pa kulala
Mtoto akikua ni lazima akajitegemee kikubwa aondoke kwa wazazi wake kwa amanWapenzi wa WCB wote tukutane hapa tutete mawili matatu kuhusu huyu bwana mdogo Rajabu (Harmonize).
Binafsi nimesikishwa sana jinsi alivyobadilika, amejaa kiburi ,majivuni na kujiona yeye ndio yeye na yeye ndiye mfalme wa bongo fleva hivyo anataka kujitoa WCB ili apimane ubavu na Diamond Platnums Simbaaaa.
Harmonize anajisahaulisha kwamba anamuiga Diamond Platnums kuimba na hata baadhi ya nyimbo ambazo alipaswa Diamond Platnums kushirikishwa Diamond alikuwa anampa nafasi hiyo Harmonize mfano wimbo wa Inde wa Dully Sykes.
Harmonize amesahau wema wote aliotendewa na Diamond Platnums na timu nzima ya wasafi eti kwa sasa anaona wasafi inambana bana asiweze kutusua kimataifa daah ama kweli maskini akipata matakoo hulia mbwata.
Harmonize huyu huyu ndiye alikuwa akilia dar live mpaka kushindwa kuendelea kuimba pindi alipompandisha Diamond Platnums kuimba wimbo wao wa kwang'aru maana alikuwa anakumbuka jinsi alivyokuwa akidhalilika lakini Diamond Platnums alimshika mkono na kumfanya kuwa mtu maarufu leo hii amesahau yote.
Harmonize anajidanganya anamashabiki wengi jambo ambalo ni ndoto za alinacha, Harmonize hana mashabiki bali anaungwa mkono tu na wapenzi wa WCB maana hana kiwango cha kuimba kabisa.
Kinamchomdanganya zaidi huyu mmakonde ni ile kukutana na viongozi wa nchi mara kwa mara kwa sasa na kuhaidiwa atasaidiwa kimuziki anahisi amemaliza kila kitu hata akitoka wasafi atasaidiwa na viongozi wa nchi, ninasema anajidanganya kwa sababu aangalie wanamuziki wenzake waliomtangulia wameshaenda ikulu mara kibao na kupewa ahadi kedekede lakini kiko wapi?
Hao bongo muvi kila kukicha wanajipendekeza kwa viongozi lakini mbona tasnia yao haiipigi hatua.
Sasa kilichobaki huyu dogo ni kumuonesha kwamba yeye si kitu ,na hata hivyo vigari alovyowanunulia wazazi wake ni juhudi za wasafi, hata huyo Sara anayemtegemea asingempata kama asingekuwa wasafi maana angekuwa hajulikani mpaka leo.
Sasa wapenzi wote wa WCB tumkanyage kanyage huyu jamaa mpaka jina la Harmonize litokomee abaki na jina lake la Rajabu.
Kwa kuanza tunaanza kumu unfollow insta, tuna unsubscribe channel yake , hatusapoti kazi zake halafu tuone waliomdanganya watamsaidia nini.
View attachment 1187405
sorry ndugu mwandishi hv WCB ilikuwa inawaumiza akina nan na kwa kipi haswaaKama nyinyi ndo mmempandisha hadi hapo kwanini mnaumia?
Muacheni atadondoka kama nyie ndo mmemshikilia.
Tujifunze kuacha watu wajitegemee ili waajiriwa wawe wengi.
Harmo akifanikiwa
Atakuwa na studio yake
Dancers wake
Mameneja
Dereva
Wapishi
Hao wote wataingiza hela kupitia yeye.
Tuache chuki
Yeye kakubali kuwalipa hela ili muachane hivyo sioni sababu ya nyinyi kuendelea muandama.
Ukute hana tatizo na Dai ila hao wafitini ndo tatizo.
Kingine ni kuwa Harmo anajua nje ndani ya mliyokuwa mwafamya kuwaumiza wengine anajua atayakabiri vipi.
Sio mjinga kuona Mavoko kachomoka na kufeli afu na yeye achomoke hapo anajua atatokaje na ndo maana kawaandikia barua ya kuvunja mkataba.
Labda kilichowauma ni jeuri ya yeye kuuvunja mkataba maana atatakiwa kuwalipa kiasi fulani ili awe huru.
Mavoko bado yuko ndani ya mkataba ndo maana hawezi fanya kitu.
Nadhani kwenye uvunjaji Harmo atapendekeza nyimbo zake ziwe zake
sorry ndugu mwandishi hv WCB ilikuwa inawaumiza akina nan na kwa kipi haswaaKama nyinyi ndo mmempandisha hadi hapo kwanini mnaumia?
Muacheni atadondoka kama nyie ndo mmemshikilia.
Tujifunze kuacha watu wajitegemee ili waajiriwa wawe wengi.
Harmo akifanikiwa
Atakuwa na studio yake
Dancers wake
Mameneja
Dereva
Wapishi
Hao wote wataingiza hela kupitia yeye.
Tuache chuki
Yeye kakubali kuwalipa hela ili muachane hivyo sioni sababu ya nyinyi kuendelea muandama.
Ukute hana tatizo na Dai ila hao wafitini ndo tatizo.
Kingine ni kuwa Harmo anajua nje ndani ya mliyokuwa mwafamya kuwaumiza wengine anajua atayakabiri vipi.
Sio mjinga kuona Mavoko kachomoka na kufeli afu na yeye achomoke hapo anajua atatokaje na ndo maana kawaandikia barua ya kuvunja mkataba.
Labda kilichowauma ni jeuri ya yeye kuuvunja mkataba maana atatakiwa kuwalipa kiasi fulani ili awe huru.
Mavoko bado yuko ndani ya mkataba ndo maana hawezi fanya kitu.
Nadhani kwenye uvunjaji Harmo atapendekeza nyimbo zake ziwe zake
mmmmh shimo gan tenaNaliona shimo la Harmonize
mmmmh shimo gan tenaNaliona shimo la Harmonize
mmmmh shimo gan tenaNaliona shimo la Harmonize
hahaaaa shabiki wa upande wa pili utawajua tu.Harmonize kibongo bongo anafanbase kubwa Sana kushinda takataka kama rayvan hata diamond anajua hata WCB wanajua Harmonize ndiyo mtaalam wa inspiration songs diamond na mkewe rayvan wakiimba nyege anakuja kuwatuliza mashabiki na Atarudi, Never give up ,na nyimbo nyingine nzuri namshauri aondoke tu hapo WCB maana hicho ni kikundi cha wahuni.
ishu ni kwamba usimamizi alioachana nao anaweza kupata mbadala wakekama harmo ata anguka kimziki kisa ameondoka WCB basi hiyo wcb hawako kusaidia wasanii
Harmonize ana fan base kubwa? We jamaa unaota weweHarmonize kibongo bongo anafanbase kubwa Sana kushinda takataka kama rayvan hata diamond anajua hata WCB wanajua Harmonize ndiyo mtaalam wa inspiration songs diamond na mkewe rayvan wakiimba nyege anakuja kuwatuliza mashabiki na Atarudi, Never give up ,na nyimbo nyingine nzuri namshauri aondoke tu hapo WCB maana hicho ni kikundi cha wahuni.
Sawa naota basi ngojea anguko lakeHarmonize ana fan base kubwa? We jamaa unaota wewe
Mpuuzi wewe ukute unamiliki tecno na huna pa kulala
Duuh kaka ujue mim nakuheshimu sana, mbona unatudharau tunaomiliki tecno?Mpuuzi wewe ukute unamiliki tecno na huna pa kulala
Mpuuzi wewe ukute unamiliki tecno na huna pa kulala
[emoji16][emoji16][emoji16]Toka hapa!. TECNO inaingiaje hapa uzini!. acha mambo yako!
Wapenzi wa WCB wote tukutane hapa tutete mawili matatu kuhusu huyu bwana mdogo Rajabu (Harmonize).
Binafsi nimesikishwa sana jinsi alivyobadilika, amejaa kiburi ,majivuni na kujiona yeye ndio yeye na yeye ndiye mfalme wa bongo fleva hivyo anataka kujitoa WCB ili apimane ubavu na Diamond Platnums Simbaaaa.
Harmonize anajisahaulisha kwamba anamuiga Diamond Platnums kuimba na hata baadhi ya nyimbo ambazo alipaswa Diamond Platnums kushirikishwa Diamond alikuwa anampa nafasi hiyo Harmonize mfano wimbo wa Inde wa Dully Sykes.
Harmonize amesahau wema wote aliotendewa na Diamond Platnums na timu nzima ya wasafi eti kwa sasa anaona wasafi inambana bana asiweze kutusua kimataifa daah ama kweli maskini akipata matakoo hulia mbwata.
Harmonize huyu huyu ndiye alikuwa akilia dar live mpaka kushindwa kuendelea kuimba pindi alipompandisha Diamond Platnums kuimba wimbo wao wa kwang'aru maana alikuwa anakumbuka jinsi alivyokuwa akidhalilika lakini Diamond Platnums alimshika mkono na kumfanya kuwa mtu maarufu leo hii amesahau yote.
Harmonize anajidanganya anamashabiki wengi jambo ambalo ni ndoto za alinacha, Harmonize hana mashabiki bali anaungwa mkono tu na wapenzi wa WCB maana hana kiwango cha kuimba kabisa.
Kinamchomdanganya zaidi huyu mmakonde ni ile kukutana na viongozi wa nchi mara kwa mara kwa sasa na kuhaidiwa atasaidiwa kimuziki anahisi amemaliza kila kitu hata akitoka wasafi atasaidiwa na viongozi wa nchi, ninasema anajidanganya kwa sababu aangalie wanamuziki wenzake waliomtangulia wameshaenda ikulu mara kibao na kupewa ahadi kedekede lakini kiko wapi?
Hao bongo muvi kila kukicha wanajipendekeza kwa viongozi lakini mbona tasnia yao haiipigi hatua.
Sasa kilichobaki huyu dogo ni kumuonesha kwamba yeye si kitu ,na hata hivyo vigari alovyowanunulia wazazi wake ni juhudi za wasafi, hata huyo Sara anayemtegemea asingempata kama asingekuwa wasafi maana angekuwa hajulikani mpaka leo.
Sasa wapenzi wote wa WCB tumkanyage kanyage huyu jamaa mpaka jina la Harmonize litokomee abaki na jina lake la Rajabu.
Kwa kuanza tunaanza kumu unfollow insta, tuna unsubscribe channel yake , hatusapoti kazi zake halafu tuone waliomdanganya watamsaidia nini.
View attachment 1187405