Kikao cha dharura cha mashabiki wa WCB

Kikao cha dharura cha mashabiki wa WCB

Akirudi kuwa Rajabu wewe unanufaika vip?
Mkuu industry inatakiwa ikue, Harmonize atatoa ajira ngapi na atainua wengine wangapi?
Ushauri ni kumwambia kama anataka kutoka aage vizuri pale pawe ni kama nyumbani ili awe huru kurudi muda wowote au kufanya nao kazi na pia sidhani kama ana dharau hizo unazozikuza wewe
 
Harmonize kibongo bongo anafanbase kubwa Sana kushinda takataka kama rayvan hata diamond anajua hata WCB wanajua Harmonize ndiyo mtaalam wa inspiration songs diamond na mkewe rayvan wakiimba nyege anakuja kuwatuliza mashabiki na Atarudi, Never give up ,na nyimbo nyingine nzuri namshauri aondoke tu hapo WCB maana hicho ni kikundi cha wahuni.
 
Wapenzi wa WCB wote tukutane hapa tutete mawili matatu kuhusu huyu bwana mdogo Rajabu (Harmonize).
Binafsi nimesikishwa sana jinsi alivyobadilika, amejaa kiburi ,majivuni na kujiona yeye ndio yeye na yeye ndiye mfalme wa bongo fleva hivyo anataka kujitoa WCB ili apimane ubavu na Diamond Platnums Simbaaaa.
Harmonize anajisahaulisha kwamba anamuiga Diamond Platnums kuimba na hata baadhi ya nyimbo ambazo alipaswa Diamond Platnums kushirikishwa Diamond alikuwa anampa nafasi hiyo Harmonize mfano wimbo wa Inde wa Dully Sykes.
Harmonize amesahau wema wote aliotendewa na Diamond Platnums na timu nzima ya wasafi eti kwa sasa anaona wasafi inambana bana asiweze kutusua kimataifa daah ama kweli maskini akipata matakoo hulia mbwata.
Harmonize huyu huyu ndiye alikuwa akilia dar live mpaka kushindwa kuendelea kuimba pindi alipompandisha Diamond Platnums kuimba wimbo wao wa kwang'aru maana alikuwa anakumbuka jinsi alivyokuwa akidhalilika lakini Diamond Platnums alimshika mkono na kumfanya kuwa mtu maarufu leo hii amesahau yote.
Harmonize anajidanganya anamashabiki wengi jambo ambalo ni ndoto za alinacha, Harmonize hana mashabiki bali anaungwa mkono tu na wapenzi wa WCB maana hana kiwango cha kuimba kabisa.
Kinamchomdanganya zaidi huyu mmakonde ni ile kukutana na viongozi wa nchi mara kwa mara kwa sasa na kuhaidiwa atasaidiwa kimuziki anahisi amemaliza kila kitu hata akitoka wasafi atasaidiwa na viongozi wa nchi, ninasema anajidanganya kwa sababu aangalie wanamuziki wenzake waliomtangulia wameshaenda ikulu mara kibao na kupewa ahadi kedekede lakini kiko wapi?
Hao bongo muvi kila kukicha wanajipendekeza kwa viongozi lakini mbona tasnia yao haiipigi hatua.
Sasa kilichobaki huyu dogo ni kumuonesha kwamba yeye si kitu ,na hata hivyo vigari alovyowanunulia wazazi wake ni juhudi za wasafi, hata huyo Sara anayemtegemea asingempata kama asingekuwa wasafi maana angekuwa hajulikani mpaka leo.
Sasa wapenzi wote wa WCB tumkanyage kanyage huyu jamaa mpaka jina la Harmonize litokomee abaki na jina lake la Rajabu.
Kwa kuanza tunaanza kumu unfollow insta, tuna unsubscribe channel yake , hatusapoti kazi zake halafu tuone waliomdanganya watamsaidia nini.
View attachment 1187405
Mtoto akikua ni lazima akajitegemee kikubwa aondoke kwa wazazi wake kwa aman
muacheni Kondeboy Harmonize keshakua muachen akajitegemee
sidhani kama we ndugu muandishi kama unaendelea kuishi kwa wazazi wako mpaka sasa
hata Mond kunamaali alipita mpaka kafika hapo alipo angeendelea kubaki sizan kama tungekuwa na wasafi mpaka sasa
Muachen aende tu
 
Kama nyinyi ndo mmempandisha hadi hapo kwanini mnaumia?
Muacheni atadondoka kama nyie ndo mmemshikilia.
Tujifunze kuacha watu wajitegemee ili waajiriwa wawe wengi.
Harmo akifanikiwa
Atakuwa na studio yake
Dancers wake
Mameneja
Dereva
Wapishi
Hao wote wataingiza hela kupitia yeye.
Tuache chuki
Yeye kakubali kuwalipa hela ili muachane hivyo sioni sababu ya nyinyi kuendelea muandama.
Ukute hana tatizo na Dai ila hao wafitini ndo tatizo.
Kingine ni kuwa Harmo anajua nje ndani ya mliyokuwa mwafamya kuwaumiza wengine anajua atayakabiri vipi.
Sio mjinga kuona Mavoko kachomoka na kufeli afu na yeye achomoke hapo anajua atatokaje na ndo maana kawaandikia barua ya kuvunja mkataba.
Labda kilichowauma ni jeuri ya yeye kuuvunja mkataba maana atatakiwa kuwalipa kiasi fulani ili awe huru.
Mavoko bado yuko ndani ya mkataba ndo maana hawezi fanya kitu.
Nadhani kwenye uvunjaji Harmo atapendekeza nyimbo zake ziwe zake
sorry ndugu mwandishi hv WCB ilikuwa inawaumiza akina nan na kwa kipi haswaa
cjakuelewa hapo tu
 
Kama nyinyi ndo mmempandisha hadi hapo kwanini mnaumia?
Muacheni atadondoka kama nyie ndo mmemshikilia.
Tujifunze kuacha watu wajitegemee ili waajiriwa wawe wengi.
Harmo akifanikiwa
Atakuwa na studio yake
Dancers wake
Mameneja
Dereva
Wapishi
Hao wote wataingiza hela kupitia yeye.
Tuache chuki
Yeye kakubali kuwalipa hela ili muachane hivyo sioni sababu ya nyinyi kuendelea muandama.
Ukute hana tatizo na Dai ila hao wafitini ndo tatizo.
Kingine ni kuwa Harmo anajua nje ndani ya mliyokuwa mwafamya kuwaumiza wengine anajua atayakabiri vipi.
Sio mjinga kuona Mavoko kachomoka na kufeli afu na yeye achomoke hapo anajua atatokaje na ndo maana kawaandikia barua ya kuvunja mkataba.
Labda kilichowauma ni jeuri ya yeye kuuvunja mkataba maana atatakiwa kuwalipa kiasi fulani ili awe huru.
Mavoko bado yuko ndani ya mkataba ndo maana hawezi fanya kitu.
Nadhani kwenye uvunjaji Harmo atapendekeza nyimbo zake ziwe zake
sorry ndugu mwandishi hv WCB ilikuwa inawaumiza akina nan na kwa kipi haswaa
cjakuelewa hapo tu
 
Harmonize kibongo bongo anafanbase kubwa Sana kushinda takataka kama rayvan hata diamond anajua hata WCB wanajua Harmonize ndiyo mtaalam wa inspiration songs diamond na mkewe rayvan wakiimba nyege anakuja kuwatuliza mashabiki na Atarudi, Never give up ,na nyimbo nyingine nzuri namshauri aondoke tu hapo WCB maana hicho ni kikundi cha wahuni.
hahaaaa shabiki wa upande wa pili utawajua tu.
ongelea mziki in reality sio ushabiki afu acha kujidanganya haswa kumfananisha Mond na Harmo ni IST na harier
 
kama harmo ata anguka kimziki kisa ameondoka WCB basi hiyo wcb hawako kusaidia wasanii
ishu ni kwamba usimamizi alioachana nao anaweza kupata mbadala wake
umeondoka kwa wazazi wako umeamua kunitegemea ko kwa lolote litakalo kukuta lawanlawama zisirudi kwa wazazi we c umekuwa
 
Harmonize kibongo bongo anafanbase kubwa Sana kushinda takataka kama rayvan hata diamond anajua hata WCB wanajua Harmonize ndiyo mtaalam wa inspiration songs diamond na mkewe rayvan wakiimba nyege anakuja kuwatuliza mashabiki na Atarudi, Never give up ,na nyimbo nyingine nzuri namshauri aondoke tu hapo WCB maana hicho ni kikundi cha wahuni.
Harmonize ana fan base kubwa? We jamaa unaota wewe
 
Hivi kwanini tunajifanya tunaijua WCB kuliko walio ndani ya hiyo timu.Siri ya mtungi aijuae kata tumwache hatuwezi jua kwanini ameamua kuondoka
 
Wapenzi wa WCB wote tukutane hapa tutete mawili matatu kuhusu huyu bwana mdogo Rajabu (Harmonize).

Binafsi nimesikishwa sana jinsi alivyobadilika, amejaa kiburi ,majivuni na kujiona yeye ndio yeye na yeye ndiye mfalme wa bongo fleva hivyo anataka kujitoa WCB ili apimane ubavu na Diamond Platnums Simbaaaa.

Harmonize anajisahaulisha kwamba anamuiga Diamond Platnums kuimba na hata baadhi ya nyimbo ambazo alipaswa Diamond Platnums kushirikishwa Diamond alikuwa anampa nafasi hiyo Harmonize mfano wimbo wa Inde wa Dully Sykes.

Harmonize amesahau wema wote aliotendewa na Diamond Platnums na timu nzima ya wasafi eti kwa sasa anaona wasafi inambana bana asiweze kutusua kimataifa daah ama kweli maskini akipata matakoo hulia mbwata.

Harmonize huyu huyu ndiye alikuwa akilia dar live mpaka kushindwa kuendelea kuimba pindi alipompandisha Diamond Platnums kuimba wimbo wao wa kwang'aru maana alikuwa anakumbuka jinsi alivyokuwa akidhalilika lakini Diamond Platnums alimshika mkono na kumfanya kuwa mtu maarufu leo hii amesahau yote.

Harmonize anajidanganya anamashabiki wengi jambo ambalo ni ndoto za alinacha, Harmonize hana mashabiki bali anaungwa mkono tu na wapenzi wa WCB maana hana kiwango cha kuimba kabisa.

Kinamchomdanganya zaidi huyu mmakonde ni ile kukutana na viongozi wa nchi mara kwa mara kwa sasa na kuhaidiwa atasaidiwa kimuziki anahisi amemaliza kila kitu hata akitoka wasafi atasaidiwa na viongozi wa nchi, ninasema anajidanganya kwa sababu aangalie wanamuziki wenzake waliomtangulia wameshaenda ikulu mara kibao na kupewa ahadi kedekede lakini kiko wapi?

Hao bongo muvi kila kukicha wanajipendekeza kwa viongozi lakini mbona tasnia yao haiipigi hatua.

Sasa kilichobaki huyu dogo ni kumuonesha kwamba yeye si kitu ,na hata hivyo vigari alovyowanunulia wazazi wake ni juhudi za wasafi, hata huyo Sara anayemtegemea asingempata kama asingekuwa wasafi maana angekuwa hajulikani mpaka leo.

Sasa wapenzi wote wa WCB tumkanyage kanyage huyu jamaa mpaka jina la Harmonize litokomee abaki na jina lake la Rajabu.

Kwa kuanza tunaanza kumu unfollow insta, tuna unsubscribe channel yake , hatusapoti kazi zake halafu tuone waliomdanganya watamsaidia nini.


View attachment 1187405

Mashabiki wa aina yako ndo hatuwataki WCB!!

Kwanza nadiriki kusema wewe sio shabiki wa WCB!!!,narudia tena ,wewe sio shabiki wa WCB!!

Kama mmoja wa mameneja (Sallam) ameshazungumza kwenye media na amekiri kabisa anaondoka,LAKINI SI KWA UBAYA...WEWE NI NANI UJE UTUAMINISHE PUMBA ZAKO KAMA IZO?!!

Mmakonde ameondoka WCB kwa amani kabisa,na wala sio kwa ugomvi

Kama ulikua mshabiki wake kweli basi ni ujuha na ujinga kuacha kumsapoti eti kisa tu hayupo WCB

Halafu,mkae mkifahamu kabisa, Lengo la WCB ni kukuza wasanii na wakishakomaa kimziki na kiuchumi basi RUKSA kuondoka ,ili vipaji vingine vipya navyo vipate nafasi ya kusainiwa na kupewa backup ya kusikika!!

Miroho mbaya na michuki yenu ya ajabu ajabu yasiwapeleke peleke na kuwafanya muwaaminishe watu wengine ujinga wenu.
 
Back
Top Bottom