Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 425
Kanuni huwa ni moja tu
Ukiondoka kikaoni wenzio wakabaki, wewe ndio utaanza kusengenywa/kujadiliwa na waliobaki.
Salama yako ni kuwa unapoondoka, ondoka na wenzio na kikao kifungwe au EPUKA na EPUSHA vikao hivyo period!!.
Ushauri wa bure.
Ukiondoka kikaoni wenzio wakabaki, wewe ndio utaanza kusengenywa/kujadiliwa na waliobaki.
Salama yako ni kuwa unapoondoka, ondoka na wenzio na kikao kifungwe au EPUKA na EPUSHA vikao hivyo period!!.
Ushauri wa bure.