Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Wanaume, mabaharia na vijana;
Nimewaita hapa niwaulize jambo kwani kuna jambo linanitatiza.
Wakuu huwa naona wanaume wenzangu kila sketi ikipita mbele yao wanaikodolea macho na wengine hufika mbali hata kupiga mluzi au hata kuomba namba kwa ajili ya kuanzisha mahusiano.
Au sehemu za kazi hupenda kujihusisha kimapenzi na kila msichana/ mwanamke.
Na wengine husema haiwezekani kabisa kuwa na urafiki na msichana bila kutaka sex.
Kwangu mimi ni tofauti sana.
Nina bahati ya kuwa karibu sana kikazi au hata urafiki na warembo wengi sana.
Nina uwezo wa kutengeneza uhusiano kwa muda mfupi..I mean uhusiano wa kawaida.
Lakini linapofika suala la mapenzi mimi ni mchaguzi mno.
Ili msichana anivutie kimapenzi lazima awe na sifa za ziada sana.
1. Mrefu kiasi
2. Rangi sio mchaguzi sana
3. Shepu ..hiki kigezo muhimu mno
4. Ucheshi kiasi
5. Napenda mwanamke mwenye akili na sio
Akina mwajuma wa mipasho.
6. Lips zilizojaa kidogo.
Hivi hili ni tatizo?
Lakini nikipenda hufa na kuoza.
Huwa naingia mwili na roho.
Napenda mapenzi ya kumbikumbi.
Je! Wazee mnawezaje kuwa na foleni au chovya hapa na pale?
Karibuni...povu muhimu
Nimewaita hapa niwaulize jambo kwani kuna jambo linanitatiza.
Wakuu huwa naona wanaume wenzangu kila sketi ikipita mbele yao wanaikodolea macho na wengine hufika mbali hata kupiga mluzi au hata kuomba namba kwa ajili ya kuanzisha mahusiano.
Au sehemu za kazi hupenda kujihusisha kimapenzi na kila msichana/ mwanamke.
Na wengine husema haiwezekani kabisa kuwa na urafiki na msichana bila kutaka sex.
Kwangu mimi ni tofauti sana.
Nina bahati ya kuwa karibu sana kikazi au hata urafiki na warembo wengi sana.
Nina uwezo wa kutengeneza uhusiano kwa muda mfupi..I mean uhusiano wa kawaida.
Lakini linapofika suala la mapenzi mimi ni mchaguzi mno.
Ili msichana anivutie kimapenzi lazima awe na sifa za ziada sana.
1. Mrefu kiasi
2. Rangi sio mchaguzi sana
3. Shepu ..hiki kigezo muhimu mno
4. Ucheshi kiasi
5. Napenda mwanamke mwenye akili na sio
Akina mwajuma wa mipasho.
6. Lips zilizojaa kidogo.
Hivi hili ni tatizo?
Lakini nikipenda hufa na kuoza.
Huwa naingia mwili na roho.
Napenda mapenzi ya kumbikumbi.
Je! Wazee mnawezaje kuwa na foleni au chovya hapa na pale?
Karibuni...povu muhimu