Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ewaaaaaaaaaa vitu kama hivi sasa
basi kumbe na ww ni wale wale na ukumbuke simba akizidiwa anakula majanKali yenye vigezo vyangu haiponagi kwangu
Ni asili yetu, kuishinda ni mtihani.Kwahiyo unataka kuwa unafunua kila sketi? Yaani watu wengine jamani badala ya kumshukuru Mungu uko hivyo unauliza wenzio wanafanyaje kumbe hii dhambi wanaume huwa mnaipenda na mnaifanya kwa makusudi eenh?
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]Ni asili yetu, kuishinda ni mtihani.
Sio sisi tu hata ninyi mnapenda sana hii kitu.
Kuna kipindi huwa naona wanavyopigana vikumbo kwa ajili yetu
Kweli mkuuNi asili yetu, kuishinda ni mtihani.
Sio sisi tu hata ninyi mnapenda sana hii kitu.
Kuna kipindi huwa naona wanavyopigana vikumbo kwa ajili yetu
Ewaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio dhambi ni nature yetuKwahiyo unataka kuwa unafunua kila sketi? Yaani watu wengine jamani badala ya kumshukuru Mungu uko hivyo unauliza wenzio wanafanyaje kumbe hii dhambi wanaume huwa mnaipenda na mnaifanya kwa makusudi eenh?
Imeandikwa wapi hiyoSio dhambi ni nature yetu
Imeandikwa wapi hiyo
Oohh sasa mbona wanawake wakifanya mambo ambayo hayapo kwenye maandiko mnakuja juuSio yote unayakuta kwenye maandiko .
we tambua kua sisi ni polygamist in nature hatupendi iwe hivyo tunasononeka sema tutafanyaje sasa na ndo maumbile yalivyo hili mbona liko wazi au unataka ulete ubishi wako tu
[emoji23][emoji23]Nasoma comments tyuuuuh