Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

Acha umbulula,j2 zma ovyo iv n kikao gan kilifanyika kumpa Mandela hadhi ya kuitwa "madiba"?!afu suala la kutaka kutawadhwa mtakatifu na kanisa lmekuja baada ya yeye kufariki!unataka afufuke aje awaambie "nilikataa kuchanganya dini na siasa,msiniite mtakatifu".Iv mleta uzi mbona thinking yako n ndogo sana kias hicho!umekosa cha kuleta humu?km hapaswi kuwa madiba we2 si ungewah mapema b4 hajaitwa ukaanzisha u2mbo huu?
 
Na kama ndivyo, je ni Mtanzania gani au ni nani kati ya Karume na Nyerere alikuwa wa kwanza kulipokea na kulifanyia kazi? Jibu unalo, tatizo ubishi ndugu yangu!
Nimeipenda hii!
Tulianzia kuwa anaitwa baba wa Taifa kutokana na kuwa yeye ndiye muasisi wa Tanzania,tukaja kuona kuwa haistahiki.

Tukaendelea na kujaribu sababu ya kuwa yeye ni rais wa kwanza wa muungano,tukajionea wenyewe kuwa haifai.

Sasa imekuja hoja ya nani aliyekuwa kibaraka na mtiifu zaidi kwa Slave Master kama si yeye hivyo anastahiki kuitwa baba wa taifa!

Ninakukumbusha tu kuwa kuna jina jingine linalomstahiki mtu wa namna hii, jina lenyew huw si baba wa taifa.
 
​Matayo 23:9

Wala msimwite mtu yeyote Baba hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu aliye mbinguni
 
Kikao cha wazee wa kiswahili wa Dar es Salaam, walimuoza kwa Mke, TANU, July 7, 1954, na akazaliwa mtoto Tanganyika 1961. Hivyo, Tanganyika ni mtoto wa Nyerere aliezaa na TANU. Kisha kijana Tanganyika akaoa 1964, na akapewa jina la ukubwa, Tanzania, na kubaki mtoto wa Nyerere. Bila shaka mtoto kumwita mzazi wake "Baba" ni halali kabisa.
 
Kikao gani cha serikali na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa? Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge mmoja simkumbuki jina alisema"kwakuwa Nyerere anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa apewe mh.Mkapa!" akaongeza "kwakuwa utawala wa Mkapa ulikuwa mzuri basi napendekeza bunge liridhie tubadili katiba ili mkapa agombee tena ili aweze kutawala kwa miaka 10 mingine?".

Mytake:
Huu ni mlolongo wa sintofahamu ndani ya Tanzania ambazo zimepaliliwa tangu enzi! Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi kuchanganya dini na siasa?

Naomba tujadili hoja hii nyeti kwa ueledi nasio matusi na kejeli.

Unyeti wa hoja yako upo wapi?unaleta upuuzi na udini wako hapa... Kwan ni kikao gan kiliamua "Mwinyi aitwe Mzee Ruksa" au Kikwete aitwe " Dhaifu, Vasco Da Gama, Bwana Maendeleo"
Ngoja nikujibu kulingana na "level" yako ya upumbavu. Viongozi weng wamepewa majina kutokana na matendo yao. so tafuta tendo Nyerere alilofanya mpk akaitwa Baba
 
so tafuta tendo Nyerere alilofanya mpk akaitwa Baba
Mpaka hapa tulipofikia sijaona tendo lolote alilolifanya nyerere na kustahiki kuitwa baba wa taifa (pekee) ukiachilia mbali Ukanisa Kanisa unaotaka kui- Christianized nchi nzima.
 
Kikao gani cha serikali na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa? Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge mmoja simkumbuki jina alisema"kwakuwa Nyerere anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa apewe mh.Mkapa!" akaongeza "kwakuwa utawala wa Mkapa ulikuwa mzuri basi napendekeza bunge liridhie tubadili katiba ili mkapa agombee tena ili aweze kutawala kwa miaka 10 mingine?".

Mytake:
Huu ni mlolongo wa sintofahamu ndani ya Tanzania ambazo zimepaliliwa tangu enzi! Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi kuchanganya dini na siasa?

Naomba tujadili hoja hii nyeti kwa ueledi nasio matusi na kejeli.
Umetoka kwenye Kikao cha kahawa na kashata nini!
 
Kanisa ndiyo limempa hilo jina la baba wa taifa.
 
Mwache mzee wa watu apumzike kwa amani. Amelifanyia taifa makuu hata nafasi ya baba wa taifa haitoshi. Kama si yeye ungeshauzwa kama madini na gesi

kweli mkuu. au kama twiga kule KIA. tatizo wenzetu wengine hata ufanye mema kiasi gani watakukandia tu. walitaka nyerere awe kama malaika. wanashindwa kujitazama wenyewe madhaifu waliyo nayo. ndo wanasababisha watu wakishika madaraka wakwibe na kufisad maana hakutakuwa na shukran zaid ya kulaumiwa.
 
Haya ni miongoni mwa mambo yasiyo na faida kwa Taifa. Zaidi ni kujadili mawazo ya mijitu iliyojaa wivu na isiyo na maslahi kwa Taifa. Hivi Nyerere kuitwa baba wa Taifa wewe unapata hasara gani na familia yake wanapata faida gani? Na asipoitwa baba wa Taifa utanufaikaje na familia yake itapata hasara gani? Mi naona hapa mleta mada unatuonesha wivu uliokujaa na ubaguzi wa kidini. Bornvilla Unataka wewe ndiyo uwe baba wa Taifa?
 
labda kile kikao cha maaskofu maana nimesikia wapo kwenye mchakato wa kumpa utakatifu sijui kwa jambo lipi au kwa kufanikiwa kuanzisha bakwata
 

Ukosahihi mkuu na wala hujakosea! Kanisani kule ameanza na baba au father kama wanavyoita likaja la kutangazwa mwenyeheri kuelekea utakatifu. Kama Nyerere hakuwa mdini mkubwa katika nchi hii na kulipatia kanisa lake kilalilichohitaji na kuitumikia kwa kilahali leo asingekuwa kwenye mchakato huu wa utakatifu. Alilifanyia nini kanisa hadi apewe hadhi hii ya utakatifu? Aliwaua Mashekhe,wengine wakatupwa kizuizini,wengine wlikimbia nchi na kufia uhamishoni. Waislam wasasa wanaelewa mamo na ndio maana wanadai haki zao zilizominywa tangu enzi za Nyerere. Kifupi ni kuwa Waislam hakuna chakumwita nyerere baba wa taifa wakati wenye haki ni wakristo kwakuwa ni cheo huko kanisani. Nyerere amewafanyia mabaya mengi sana waislam huku aijinadi kuwa yeye si mdini kumbe ni mnafiki mkubwa anauma huku anapuliza. Swali liko palepale ni kikaogani kilikaa kuamua Nyerere awe baba wa taifa? Naona wakristo wengi wanakwepa kutoa majibu. Ukiona muislam anashabikia huo ubaba ujue hajitambui na wala historia ya nchi hiihaijui yaani yupoyupo tu.
 
Haya ni miongoni mwa mambo yasiyo na faida kwa Taifa. Zaidi ni kujadili mawazo ya mijitu iliyojaa wivu na isiyo na maslahi kwa Taifa. Hivi Nyerere kuitwa baba wa Taifa wewe unapata hasara gani na familia yake wanapata faida gani? Na asipoitwa baba wa Taifa utanufaikaje na familia yake itapata hasara gani? Mi naona hapa mleta mada unatuonesha wivu uliokujaa na ubaguzi wa kidini. Bornvilla Unataka wewe ndiyo uwe baba wa Taifa?

Binafsi nakuona akili yako haitafakari vizuri mkuu! Samahani sikutukani! Hivi unakumbuka Rais Kikwete alipopewa uDr wa heshma kule uturuki na UDOM mlihoji na kupaka matope? Mimi nimehoji kutaka kujua uhalali kwa Nyerere kuitw baba, kwanini asiwe Karume? Kwa Kikwete majopo ya wasomi huko vyuo vikuu ndiovilivyoamua Kikwete awe Dr wa heshma sasa je,ni kikao gani au mkutano gani uliamua kumpa nyerere ubaba wa taifa? Hapa sio suala la wivu.Remember this is home of great thinkers where we dare to talk openly so be patient and realistic to the mater.
 
Kikao gani cha serikali na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa? Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge mmoja simkumbuki jina alisema"kwakuwa Nyerere anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa apewe mh.Mkapa!" akaongeza "kwakuwa utawala wa Mkapa ulikuwa mzuri basi napendekeza bunge liridhie tubadili katiba ili mkapa agombee tena ili aweze kutawala kwa miaka 10 mingine?".

Mytake:
Huu ni mlolongo wa sintofahamu ndani ya Tanzania ambazo zimepaliliwa tangu enzi! Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi kuchanganya dini na siasa?

Naomba tujadili hoja hii nyeti kwa ueledi nasio matusi na kejeli.

Ulitaka baba ako aitwe baba wa taifa!? Unaweza kumwita tu coz hamna mtu atakaekushangaa.
 
Binafsi nakuona akili yako haitafakari vizuri mkuu! Samahani sikutukani! Hivi unakumbuka Rais Kikwete alipopewa uDr wa heshma kule uturuki na UDOM mlihoji na kupaka matope? Mimi nimehoji kutaka kujua uhalali kwa Nyerere kuitw baba, kwanini asiwe Karume? Kwa Kikwete majopo ya wasomi huko vyuo vikuu ndiovilivyoamua Kikwete awe Dr wa heshma sasa je,ni kikao gani au mkutano gani uliamua kumpa nyerere ubaba wa taifa? Hapa sio suala la wivu.Remember this is home of great thinkers where we dare to talk openly so be patient and realistic to the mater.
Unafahamu kuna tofauti ya kuwa baba wa Taifa na Phd (Dr.)? Unaweza kuniambia Phd yake ilikuwa na GPA ya ngapi? Anyway tuache hayo kwani hizi GPA za kupewa binafsi nazipuuza kwa sababu hazijamfikirisha mhusika wala kumjenga kitafiti. Phd ya kweli itamsaidia mtu kufanya maamuzi sahihi na ya kiutafiti zaidi. Lakini heshima ya kuwa baba wa Taifa haitolewi na Taasisi yoyote ya elimu na ndiyo maana haina nafasi katika maamuzi yanayohusu mustakabali wa Taifa hili. Lakini hoja yangu hasa, ni kujadili Nyerere kuwa baba wa Taifa kutatusaidia kuondoa ufisadi, rushwa, uporaji wa rasilimali za Taifa, udini na mauaji ya raia wasio na hatia yanayofanza na Jeshi la polisi? Kama sivyo sioni sababu ya kujadili hilo.
 
Back
Top Bottom