Kikao wapi jamani... mbona kimya mwenyekiti vipi

Kikao wapi jamani... mbona kimya mwenyekiti vipi

Jamani nawakariibisha hapa mbezi kwa Luzvert uwanja mpana!
 
:nono::nono::nono: Si kuna ule upande wa pili kule kulia kama unaenda upande wa kule wanakotengeneza supu ya kitimoto

Hivi mpwa na baridi hii, ni bora jibaba uwe na eliza wako au utandike valuer??????
 
Nipatie mimi.
Hivi wale samaki wa pale nanihii hawahusiki leo?
Au Eliza wa jj amechakachua kwa manyaunyau

Big mi naomba tuanze kwa samaki si unajua tena jj kunakitimoto nami sili.... natamani kichwa tuu
 
Nipatie mimi.
Hivi wale samaki wa pale nanihii hawahusiki leo?
Au Eliza wa jj amechakachua kwa manyaunyau

Big du the nidful unaweza kubadilisha location ya kikao kwa kuwa wewe ni mfadhili.
 
Mpwa ukifika nijulishe kweli mimi handsome kila mmoja anataka kukutana na mwanaume washoka!!Nitakuwepo mchek mama big akupe ratiba!

hata mimi nashawishika kuhudhuria kikao hiki!!
 
Back
Top Bottom